kuna haja gani ya kufunya uchambuzi kama hautumii kabla ta kuanza mahusiano mapya.
Hizo analysis zinaweza fanyika, je zinafuatwa? Ukute ushaanza mpenda, au mshaanza kuwa karibu unagundua ni muongo, je utasepa fasta?
Au utasubiri hadi uwe victim wa uongo wake kwanza ndio unasepa?