Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,776
- 24,211
Baada ya kuwa na uzoefu mkubwa wa michuano hii ya CAF champions hiki ndicho kinachoenda kutokea Leo kati ya Simba na wydad Casablanca.
Simba anaenda kula 5+ ( means na kuendelea) Kwa sababu zifuatazo;
1. Simba wana uhitaji na matokeo, ila wydad Casablanca wana uhitaji zaidi kulingana na ukubwa wa timu hiyo.
3. Simba ugenini hasa Kwa waarabu Huwa Wana High inferiority complex hii itasababisha Washinde ku relax na kufanya makosa ambayo yatawagharimu.
2. Pressure itakuwa kubwa baina timu 2 then simba watashindwa kuhimili kutokana na kuwa na wachezaji wazee Simba watajikuta wanaruhusu goli za kutosha.
Mwisho matokeo ni: Wydad Casablanca 5.....1
Simba anaenda kula 5+ ( means na kuendelea) Kwa sababu zifuatazo;
1. Simba wana uhitaji na matokeo, ila wydad Casablanca wana uhitaji zaidi kulingana na ukubwa wa timu hiyo.
3. Simba ugenini hasa Kwa waarabu Huwa Wana High inferiority complex hii itasababisha Washinde ku relax na kufanya makosa ambayo yatawagharimu.
2. Pressure itakuwa kubwa baina timu 2 then simba watashindwa kuhimili kutokana na kuwa na wachezaji wazee Simba watajikuta wanaruhusu goli za kutosha.
Mwisho matokeo ni: Wydad Casablanca 5.....1