WOWOWO
JF-Expert Member
- Aug 3, 2011
- 590
- 430
Wakuu nimekuwa nikifuatilia sababu zinazotolewa juu yakubwagwa kwa CCM huko Arumeru East naziona kama zimejaa propaganda naupotoshaji wa makusudi ambao ni wazi unaonekana umelenga kuuficha ukweli nakujenga mazingira ya hatari huko tuendako.
Sababu zinazotolewa na watu mbalimbali ukianza na gazetila magamba la Uhuru kwenye Editorial yake, Maggid Mjengwa (Tafsiri yangu gazetila Ufahamu), media mbalimbali na baadhi ya wanazuoni ni pamoja na zifuatazo;
1. Mbioza kuwania urasi mwaka 2015
2. Mpasukoulioko ndani ya CCM
3. Mgombeawa CCM Sioi Sumari hakuwa chaguo la Wana Arumeru
My Take;
- Sikwamba Wananchi sasa wameichoka CCM na hawaitaki?
- Sikwamba ufisadi, duluma ya ardhi, ukosefu wa maji, ujambazi wa rasilimali zanchi nk. Ndiyo chanzo?
- Tutasemajechanzo ni mpasuko ndani ya CCM wakati pande zote za makada walishiriki kwenyekampeni bila mafanikio? (Rejea uwepo wa Lowassa kwa upande mmoja na akinaSendeka, Mkapa, Nape, Mkama, Wassira, Kichaa Lusinde na wengine lukuki)
- Kwanini tunakuwa wazito kuamini kuwa Watanzania wanaweza kufika wakati wakasemabasin a ikawa?
- Tutasemajeanguko la CCM Kiwira (Anne Kilango) na Kirumba (Samwel Sitta)?
- Kwanini inakuwa vigumu kukubaliana na ukweli mchungu kuwa CDM imekuwa verystrategic kwenye kampeni zake na ilibeba kweli kaulimbiu zenye kubeba mguso wajamii? (Rejea; M4C, Tulianza na Mungu tutamaliza na Mungu)
- Lakinitusemeje kuhusu CCM kujikita kwenye kunadi matusi majukwaani badala ya sera?
- Vipikuhusu dharau za kuwahonga fedha, khanga, kofia, chakula wana Arumeru wakatiwana shida lukuki?
Nawasilisha
Sababu zinazotolewa na watu mbalimbali ukianza na gazetila magamba la Uhuru kwenye Editorial yake, Maggid Mjengwa (Tafsiri yangu gazetila Ufahamu), media mbalimbali na baadhi ya wanazuoni ni pamoja na zifuatazo;
1. Mbioza kuwania urasi mwaka 2015
2. Mpasukoulioko ndani ya CCM
3. Mgombeawa CCM Sioi Sumari hakuwa chaguo la Wana Arumeru
My Take;
- Sikwamba Wananchi sasa wameichoka CCM na hawaitaki?
- Sikwamba ufisadi, duluma ya ardhi, ukosefu wa maji, ujambazi wa rasilimali zanchi nk. Ndiyo chanzo?
- Tutasemajechanzo ni mpasuko ndani ya CCM wakati pande zote za makada walishiriki kwenyekampeni bila mafanikio? (Rejea uwepo wa Lowassa kwa upande mmoja na akinaSendeka, Mkapa, Nape, Mkama, Wassira, Kichaa Lusinde na wengine lukuki)
- Kwanini tunakuwa wazito kuamini kuwa Watanzania wanaweza kufika wakati wakasemabasin a ikawa?
- Tutasemajeanguko la CCM Kiwira (Anne Kilango) na Kirumba (Samwel Sitta)?
- Kwanini inakuwa vigumu kukubaliana na ukweli mchungu kuwa CDM imekuwa verystrategic kwenye kampeni zake na ilibeba kweli kaulimbiu zenye kubeba mguso wajamii? (Rejea; M4C, Tulianza na Mungu tutamaliza na Mungu)
- Lakinitusemeje kuhusu CCM kujikita kwenye kunadi matusi majukwaani badala ya sera?
- Vipikuhusu dharau za kuwahonga fedha, khanga, kofia, chakula wana Arumeru wakatiwana shida lukuki?
Nawasilisha