Uchakavu wa CCM na Propanga za Arumeru East

WOWOWO

JF-Expert Member
Aug 3, 2011
590
430
Wakuu nimekuwa nikifuatilia sababu zinazotolewa juu yakubwagwa kwa CCM huko Arumeru East naziona kama zimejaa propaganda naupotoshaji wa makusudi ambao ni wazi unaonekana umelenga kuuficha ukweli nakujenga mazingira ya hatari huko tuendako.
Sababu zinazotolewa na watu mbalimbali ukianza na gazetila magamba la Uhuru kwenye Editorial yake, Maggid Mjengwa (Tafsiri yangu gazetila Ufahamu), media mbalimbali na baadhi ya wanazuoni ni pamoja na zifuatazo;

1. Mbioza kuwania urasi mwaka 2015
2. Mpasukoulioko ndani ya CCM
3. Mgombeawa CCM Sioi Sumari hakuwa chaguo la Wana Arumeru

My Take;
- Sikwamba Wananchi sasa wameichoka CCM na hawaitaki?

- Sikwamba ufisadi, duluma ya ardhi, ukosefu wa maji, ujambazi wa rasilimali zanchi nk. Ndiyo chanzo?

- Tutasemajechanzo ni mpasuko ndani ya CCM wakati pande zote za makada walishiriki kwenyekampeni bila mafanikio? (Rejea uwepo wa Lowassa kwa upande mmoja na akinaSendeka, Mkapa, Nape, Mkama, Wassira, Kichaa Lusinde na wengine lukuki)

- Kwanini tunakuwa wazito kuamini kuwa Watanzania wanaweza kufika wakati wakasemabasin a ikawa?

- Tutasemajeanguko la CCM Kiwira (Anne Kilango) na Kirumba (Samwel Sitta)?

- Kwanini inakuwa vigumu kukubaliana na ukweli mchungu kuwa CDM imekuwa verystrategic kwenye kampeni zake na ilibeba kweli kaulimbiu zenye kubeba mguso wajamii? (Rejea; M4C, Tulianza na Mungu tutamaliza na Mungu)

- Lakinitusemeje kuhusu CCM kujikita kwenye kunadi matusi majukwaani badala ya sera?

- Vipikuhusu dharau za kuwahonga fedha, khanga, kofia, chakula wana Arumeru wakatiwana shida lukuki?

Nawasilisha
 
Hakuna kampeni ambayo ingebadilisha matokeo, kiufupi hii ndo reflection ya hali halisi. Wananchi wengi wamekata tamaa. Hata hivyo ndio maana wengi wao hawaoni hata umuhimu wa kupiga kura. ukiwauliza sababu ya msingi atakuambia naona hakuna umuhimu coz kila chaguzi tunaahidiwa mambo mengi tukiwapigia hamno lolote bora nisiende kupiga kura tu!. sasa wale wachache wanaoelimishwa kuna furs ya kuchagua mwingine kutoka chama kingine na maendeleo yakaja ndo hao wanachagua upinzani. Rejea kushuka kwa idadi ya wapiga kura kufikia about 40pc 2010. Asilimia iliyobaki kakma jitihada zikifanyika kuwaelimishsha wakapige kura watapigia upinzani wengi wao
 
Mkuu hizo
zote ni sababu za msingi kabisa sema wamesahau tu kuziweka na hata minyukano yao pi ni sababu
 
"ccm iko imara na itatawala milele". - Nape

Nukuu hii ya NAPE ni kama ya mtu aliyelala usingizi mzito na asiyejua kitu kinachoendelea.Ni mawazo ya kizee na yanayopaswa kubebwa na watu wa aina ya Wassira pekee na Chzi Lusinde.In real sense alama za nyakati ni muhimu sana kwao kuliko kitu chochote.
 
Wakuu nimekuwa nikifuatilia sababu zinazotolewa juu yakubwagwa kwa CCM huko Arumeru East naziona kama zimejaa propaganda naupotoshaji wa makusudi ambao ni wazi unaonekana umelenga kuuficha ukweli nakujenga mazingira ya hatari huko tuendako.
Sababu zinazotolewa na watu mbalimbali ukianza na gazetila magamba la Uhuru kwenye Editorial yake, Maggid Mjengwa (Tafsiri yangu gazetila Ufahamu), media mbalimbali na baadhi ya wanazuoni ni pamoja na zifuatazo;

1. Mbioza kuwania urasi mwaka 2015
2. Mpasukoulioko ndani ya CCM
3. Mgombeawa CCM Sioi Sumari hakuwa chaguo la Wana Arumeru

My Take;
- Sikwamba Wananchi sasa wameichoka CCM na hawaitaki?

- Sikwamba ufisadi, duluma ya ardhi, ukosefu wa maji, ujambazi wa rasilimali zanchi nk. Ndiyo chanzo?

- Tutasemajechanzo ni mpasuko ndani ya CCM wakati pande zote za makada walishiriki kwenyekampeni bila mafanikio? (Rejea uwepo wa Lowassa kwa upande mmoja na akinaSendeka, Mkapa, Nape, Mkama, Wassira, Kichaa Lusinde na wengine lukuki)

- Kwanini tunakuwa wazito kuamini kuwa Watanzania wanaweza kufika wakati wakasemabasin a ikawa?

- Tutasemajeanguko la CCM Kiwira (Anne Kilango) na Kirumba (Samwel Sitta)?

- Kwanini inakuwa vigumu kukubaliana na ukweli mchungu kuwa CDM imekuwa verystrategic kwenye kampeni zake na ilibeba kweli kaulimbiu zenye kubeba mguso wajamii? (Rejea; M4C, Tulianza na Mungu tutamaliza na Mungu)

- Lakinitusemeje kuhusu CCM kujikita kwenye kunadi matusi majukwaani badala ya sera?

- Vipikuhusu dharau za kuwahonga fedha, khanga, kofia, chakula wana Arumeru wakatiwana shida lukuki?

Nawasilisha




Uchakavu wa CCM na Propanga za Arumeru East
Sababu zinazotolewa na CCM ni propaganda tu na naupotoshaji wa makusudi. hazina ukweli wowote bali ni funika kombe mwanaharamu apite
Mfano kusema kuwa kushindwa kwa ccm kumetokana na sababu zifuatazo;

1. Makundi ya uraisi 2015
2. Mpasuko ndani ya CCM
3. Wanannchi hawakumfahamu vizuri SIOI

Si kweli kabisa kuna sababu nyingi za msingi zinazofanya watu waichkie ccm na kuchagua cdm mathalani;

> Maisha kuzidi kuwa magumu
>kuongezeka kwa vitendo vya
ufisadi, duluma ya ardhi, ukosefu wa maji, ujambazi wa rasilimali zanchi nk.
> Nchi kuliwa na wachache
> Viongozi kuendekeza siasa badala ya maendeleo ya wananchi
> Ahadi feki zilizotolewa na ccm cahguzi zilizopita

Kwa mfano ahadi ya ''MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA'' liko wpai jibu lake!?? Badala yake imegeuka na kuwa '' BORA MAISHA KWA KILA MTANZANIA''

> Kingine ni kauli za maudhi zilizotolewa na baadhi ya makampenist wa CCM ..mfano Kichaa Lusinde na kauli zake za KULAMBA WATU ( Niwalambe nisi wlambeeee eh?), Kutukana hovvyo ( Mfano KUDADADEKI!!!). SISI KWA SISI HOYEEEEEEE Kudadadeki ,,,,niwalambe nisiwalambeeeeee?



- Vipikuhusu dharau za kuwahonga fedha, khanga, kofia, chakula wana Arumeru wakatiwana shida lukuki?

Nawasilisha
 
Nukuu hii ya NAPE ni kama ya mtu aliyelala usingizi mzito na asiyejua kitu kinachoendelea.Ni mawazo ya kizee na yanayopaswa kubebwa na watu wa aina ya Wassira pekee na Chzi Lusinde.In real sense alama za nyakati ni muhimu sana kwao kuliko kitu chochote.
Nape yupo sahihi, haya ndo maneno ambayo wenye wazee wenye chama wangependa kuyasikia. Ni dongo alilolirusha kwa ustadi mkubwa sana. Haihitaji Shahada ya uzamili kujua jamaa alikuwa anamaanisha nini!.
 
nape yupo sahihi, haya ndo maneno ambayo wenye wazee wenye chama wangependa kuyasikia. Ni dongo alilolirusha kwa ustadi mkubwa sana. Haihitaji shahada ya uzamili kujua jamaa alikuwa anamaanisha nini!.

nakubaliana na wewe mkuu na kinachoimaliza ccm ni unafiki wakutaka kujisafisha,
vip katibu wao mkuu naona yupo kinywa sana daa mzee mjanja sana yule anajua kujitengenezea sana!
 
Ni mtanzania gani ambaye yuko tayari kuona mwanae anakalia sakafu shuleni bila vitabu wala Walimu wa kutosha huku Wateule wachache Wakuu wa Mikoa,wilaya,RPC,Mawziri,Makatibu wakuu na Makada wa CCM wakitamba na MVX pasipo kuonyesha hata dalili za kuguswa matatizo hayo?.
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom