Inkoskaz JF-Expert Member Nov 6, 2010 6,372 2,374 Jan 4, 2011 #1 wamechakachua baiskeli kwenye parking wamebakiza frame tu duh.. kumbe sio KURA tu!!
malipula JF-Expert Member Sep 30, 2010 323 120 Jan 4, 2011 #2 Yawezekana ni mwenyewe kachukua baadhi ya vifaa na kupeleka kwenye baiskeli nyingine anayomiliki.Au uliwashuhudia wachakachuaji?
Yawezekana ni mwenyewe kachukua baadhi ya vifaa na kupeleka kwenye baiskeli nyingine anayomiliki.Au uliwashuhudia wachakachuaji?