Uchakachuaji wa Sheria: Katika hili, niko pamoja na Rais na Mwenyekiti wangu! Dr. John Pombe Joseph Magufuli

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
6,135
17,802
Katika hili sijifichi nyuma ya pazia wala kujibanza nyuma ya ukuta. Najitokeza na kumpongeza. Niko na Rais na Mwenyekiti wangu wa CCM bega kwa bega bila kutega au kuzuga. Namuunga mkono usio na kikomo. Namuunga kwa moyo kuliko maneno. Nipo na Rais wangu; nipo na Mwenyekiti wangu wa CCM. Sambamba.

Naungana na Rais na Mwenyekiti wangu kuinyooshea kidole chenye kilele na kelele Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG). Kuhusu kuchakachua nyaraka zinazowasilishwa Ofisini hapo. Inaletwa hivi, inatoka vile. Hata sisi TLS tulipeleka Kanuni zetu za Uchaguzi wa AG na zikachakachuliwa. Ingawa Rais hakulaani, maneno yake ya jana yanatuunga mkono.

AG anachakachua kilichoandikwa na kuandika chake. Anawaandikia Wabunge na wanachama wa TLS. Anawalisha maneno. Uchakachuaji katika sheria za mafuta na nyinginezo hauna tofauti na uchakachuaji uliofanyika kwenye Kanuni za Uchaguzi za TLS. Kuandika ya kwake kwa malengo yake. Kumbe Ofisi ya AG imekubuhu na kuzoea kuchakachua. Rais ameliona na kulisema.

Rais na Mwenyekiti wangu, uchakachuaji wa sheria na Kanuni haufanyiki kwa bahati mbaya. Kanuni za TLS zilichakachuliwa ili kuwazuia 'wanaharakati na wanasiasa' kugombea ndani ya TLS. Hata Sheria huchakachuliwa ili madili makubwamakubwa yaendelee kumea na kufanikiwa. Ofisi ya AG imulikwe. Ianikwe. Iwajibishwe. Zilizochakachuliwa zibainishwe. Zirekebishwe.

Bunge lipewe taarifa badala ya kujadili na kuamua kuhusu bajeti!?

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
 
Umenena kweli Mzee TupaTupa..

Ila usishangae ukija kugundua, na nina UHAKIKA hili unalijua vema, kwamba zile Sheria za TLS zilizochakachuliwa na Ofisi ya AG kabla ya Uchaguzi wa majuzi, maagizo yalitoka kwa huyuhuyu Mkiti wako unaemuunga mkono hapa..

Maana hakuna haja ya kupepesa macho, TLS ya toka Lissu awe Rais na sasa Fatma Karume imekuwa mwiba kwa Watawala hasa wavunjifu wa SHERIA na wakandamizaji wa HAKI za raia kama Utawala huu.
 
Katika hili sijifichi nyuma ya pazia wala kujibanza nyuma ya ukuta. Najitokeza na kumpongeza. Niko na Rais na Mwenyekiti wangu wa CCM bega kwa bega bila kutega au kuzuga. Namuunga mkono usio na kikomo. Namuunga kwa moyo kuliko maneno. Nipo na Rais wangu; nipo na Mwenyekiti wangu wa CCM. Sambamba.

Naungana na Rais na Mwenyekiti wangu kuinyooshea kidole chenye kilele na kelele Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG). Kuhusu kuchakachua nyaraka zinazowasilishwa Ofisini hapo. Inaletwa hivi, inatoka vile. Hata sisi TLS tulipeleka Kanuni zetu za Uchaguzi wa AG na zikachakachuliwa. Ingawa Rais hakulaani, maneno yake ya jana yanatuunga mkono.

AG anachakachua kilichoandikwa na kuandika chake. Anawaandikia Wabunge na wanachama wa TLS. Anawalisha maneno. Uchakachuaji katika sheria za mafuta na nyinginezo hauna tofauti na uchakachuaji uliofanyika kwenye Kanuni za Uchaguzi za TLS. Kuandika ya kwake kwa malengo yake. Kumbe Ofisi ya AG imekubuhu na kuzoea kuchakachua. Rais ameliona na kulisema.

Rais na Mwenyekiti wangu, uchakachuaji wa sheria na Kanuni haufanyiki kwa bahati mbaya. Kanuni za TLS zilichakachuliwa ili kuwazuia 'wanaharakati na wanasiasa' kugombea ndani ya TLS. Hata Sheria huchakachuliwa ili madili makubwamakubwa yaendelee kumea na kufanikiwa. Ofisi ya AG imulikwe. Ianikwe. Iwajibishwe. Zilizochakachuliwa zibainishwe. Zirekebishwe.

Bunge lipewe taarifa badala ya kujadili na kuamua kuhusu bajeti!?

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Aliyehusika ni AG mpya huyu wa juzi Aderadus??
 
Umenena kweli Mzee TupaTupa..

Ila usishangae ukija kugundua, na nina UHAKIKA hili unalijua vema, kwamba zile Sheria za TLS zilizochakachuliwa na Ofisi ya AG kabla ya Uchaguzi wa majuzi, maagizo yalitoka kwa huyuhuyu Mkiti wako unaemuunga mkono hapa..

Maana hakuna haja ya kupepesa macho, TLS ya toka Lissu awe Rais na sasa Fatma Karume imekuwa mwiba kwa Watawala hasa wavunjifu wa SHERIA na wakandamizaji wa HAKI za raia kama Utawala huu.
Ni kweli Bwana mkubwa huwa anawatuma wachakachue, nadhani kuna mahali wamechakachua vibaya au wamegundulika kwa hiyo ameamua kuwasema hadharani ili ionekane hahusiki lkn hata wachukulia hatua yoyote
 
Mbana yeye anavunja katiba ya nchi ambayo iliapa kuilinda?, au ndiyo kunya ana kunya kuku tu?, si bora AG anachakachua ambayo bado haijawa sheria jiwe anachakachua sheria kabisa
 
Kilichofanyika jiwe alitaka sheria zichakachuliwe, lakini AG alichakachua kwa kiwango ambacho yeye alikuwa hataki, kiufupi walitaka TLC awekwe mtu wa ccm tu
 
Katika hili sijifichi nyuma ya pazia wala kujibanza nyuma ya ukuta. Najitokeza na kumpongeza. Niko na Rais na Mwenyekiti wangu wa CCM bega kwa bega bila kutega au kuzuga. Namuunga mkono usio na kikomo. Namuunga kwa moyo kuliko maneno. Nipo na Rais wangu; nipo na Mwenyekiti wangu wa CCM. Sambamba.

Naungana na Rais na Mwenyekiti wangu kuinyooshea kidole chenye kilele na kelele Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG). Kuhusu kuchakachua nyaraka zinazowasilishwa Ofisini hapo. Inaletwa hivi, inatoka vile. Hata sisi TLS tulipeleka Kanuni zetu za Uchaguzi wa AG na zikachakachuliwa. Ingawa Rais hakulaani, maneno yake ya jana yanatuunga mkono.

AG anachakachua kilichoandikwa na kuandika chake. Anawaandikia Wabunge na wanachama wa TLS. Anawalisha maneno. Uchakachuaji katika sheria za mafuta na nyinginezo hauna tofauti na uchakachuaji uliofanyika kwenye Kanuni za Uchaguzi za TLS. Kuandika ya kwake kwa malengo yake. Kumbe Ofisi ya AG imekubuhu na kuzoea kuchakachua. Rais ameliona na kulisema.

Rais na Mwenyekiti wangu, uchakachuaji wa sheria na Kanuni haufanyiki kwa bahati mbaya. Kanuni za TLS zilichakachuliwa ili kuwazuia 'wanaharakati na wanasiasa' kugombea ndani ya TLS. Hata Sheria huchakachuliwa ili madili makubwamakubwa yaendelee kumea na kufanikiwa. Ofisi ya AG imulikwe. Ianikwe. Iwajibishwe. Zilizochakachuliwa zibainishwe. Zirekebishwe.

Bunge lipewe taarifa badala ya kujadili na kuamua kuhusu bajeti!?

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Kwa wizi uliokidhiri kuhusu mafuta ya chakula kuna kila dalili Tanzania tukaanza kupikia samli. Hawa jamaa sheria ikibadilushwa watakuwa kama wawekezaji kwenye sekta ya madini. Musa utasema
 
Umenena kweli Mzee TupaTupa..

Ila usishangae ukija kugundua, na nina UHAKIKA hili unalijua vema, kwamba zile Sheria za TLS zilizochakachuliwa na Ofisi ya AG kabla ya Uchaguzi wa majuzi, maagizo yalitoka kwa huyuhuyu Mkiti wako unaemuunga mkono hapa..

Maana hakuna haja ya kupepesa macho, TLS ya toka Lissu awe Rais na sasa Fatma Karume imekuwa mwiba kwa Watawala hasa wavunjifu wa SHERIA na wakandamizaji wa HAKI za raia kama Utawala huu.
Wananchi mna maneno
 
Kilichofanyika jiwe alitaka sheria zichakachuliwe, lakini AG alichakachua kwa kiwango ambacho yeye alikuwa hataki, kiufupi walitaka TLC awekwe mtu wa ccm tu
Ila yule mtu wa ccm, kweli nilichoka; nasikia ofisni kwake anao mawakili 15 ambao familia zao zinaishi kwa yeye kuwalipa mshahara na yasemekana kwenye kupiga KURA nao walikwenda but kitu cha ajabu sana, hawakumpa KURA boss wao!? Kweli wana sharia sio wanafiki kabisa
 
Katika hili sijifichi nyuma ya pazia wala kujibanza nyuma ya ukuta. Najitokeza na kumpongeza. Niko na Rais na Mwenyekiti wangu wa CCM bega kwa bega bila kutega au kuzuga. Namuunga mkono usio na kikomo. Namuunga kwa moyo kuliko maneno. Nipo na Rais wangu; nipo na Mwenyekiti wangu wa CCM. Sambamba.

Naungana na Rais na Mwenyekiti wangu kuinyooshea kidole chenye kilele na kelele Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG). Kuhusu kuchakachua nyaraka zinazowasilishwa Ofisini hapo. Inaletwa hivi, inatoka vile. Hata sisi TLS tulipeleka Kanuni zetu za Uchaguzi wa AG na zikachakachuliwa. Ingawa Rais hakulaani, maneno yake ya jana yanatuunga mkono.

AG anachakachua kilichoandikwa na kuandika chake. Anawaandikia Wabunge na wanachama wa TLS. Anawalisha maneno. Uchakachuaji katika sheria za mafuta na nyinginezo hauna tofauti na uchakachuaji uliofanyika kwenye Kanuni za Uchaguzi za TLS. Kuandika ya kwake kwa malengo yake. Kumbe Ofisi ya AG imekubuhu na kuzoea kuchakachua. Rais ameliona na kulisema.

Rais na Mwenyekiti wangu, uchakachuaji wa sheria na Kanuni haufanyiki kwa bahati mbaya. Kanuni za TLS zilichakachuliwa ili kuwazuia 'wanaharakati na wanasiasa' kugombea ndani ya TLS. Hata Sheria huchakachuliwa ili madili makubwamakubwa yaendelee kumea na kufanikiwa. Ofisi ya AG imulikwe. Ianikwe. Iwajibishwe. Zilizochakachuliwa zibainishwe. Zirekebishwe.

Bunge lipewe taarifa badala ya kujadili na kuamua kuhusu bajeti!?

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
VUTANIKUVUTE
Kwa upitishaji wa sheria kwenye bunge letu lililojaa Uccm, siamini kama AG ndie huchakachua,
Naamini tukienda kwenye records za bunge utakuta wabunge wa upinzani kupinga crude oil kulipiwa sawa na semi refined. Lakini kwa vile mko wengi mlipitisha kwa maslahi mnayo yajua nyie.
Umesahau ile kuhongwa 10m ili mpitishe bajeti?? Nawalaumu wabunge wa Ccm kwa maana hawatutendei haki sisi tulio wachagua
 
TLS taasisi kubwa imechakachuliwa sheria zake lakini walikaa kimya mpaka aseme Rais ndho na nyinyi mseme.
 
Back
Top Bottom