Uchaguzi......

Uchaguzi......

san

Member
Joined
Aug 17, 2010
Posts
12
Reaction score
0
ndugu zangu wa tanzania mnalichukuliaje swala la tbc taifa kuwakatia chadema matangazo?
binafsi nilidhani wangekua waungwana na kuhakikisha kuwa wanavitendea vyama vyote sawa

je hii sio matumizi mabaya ya madalaka?

je wataweza kutushawishi watanzania tukawaelewa?
 
Binafsi ni mpenzi sana tena sana wa CHADEMA...Kiukweli kuna maneno ambayo waliyaongea si mazuri but katika swala zima la kuwakatishia matangazo mimi siliafiki,lakini pia inategemea na mkataba waliowekeana.
 
Back
Top Bottom