Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 4,783
- 14,975
Wakuu,
Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2025 ngazi ya Urais Zanzibar kama jinsi matukio yanavyotujia kutoka kwenu. Ukiwa na taarifa yoyote upande huu tafadhali usisite kuweka.
Wapiga kura walioandikishwa kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura walikuwa 717,557, ambao ndio walioidhinishwa kushiriki katika Uchaguzi Mkuu. Kura za urais zilizopigwa zilikuwa 600,996, sawa na asilimia 84.88. Kura zilizoharibika zilikuwa 8,863, sawa na asilimia 1.46. Kura halali alizopata kila mgombea ni kama ifuatavyo:
Wanaowania kinyang'anyiro hiki ni;
Kupata matukio ya nyuma kabla ya siku ya Uchaguzi Zanzibar soma > GE2025 Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2025 ngazi ya Urais Zanzibar kama jinsi matukio yanavyotujia kutoka kwenu. Ukiwa na taarifa yoyote upande huu tafadhali usisite kuweka.
Wapiga kura walioandikishwa kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura walikuwa 717,557, ambao ndio walioidhinishwa kushiriki katika Uchaguzi Mkuu. Kura za urais zilizopigwa zilikuwa 600,996, sawa na asilimia 84.88. Kura zilizoharibika zilikuwa 8,863, sawa na asilimia 1.46. Kura halali alizopata kila mgombea ni kama ifuatavyo:
Wanaowania kinyang'anyiro hiki ni;
- Mfaume Khamis Hassan (NLD) – Kura 1,301, sawa na asilimia 0.22
- Leila Rajab Khamis (NCCR-Mageuzi) – Kura 1,643, sawa na asilimia 0.27
- Said Soud Said (AAFP) – Kura 1,238, sawa na asilimia 0.21
- Dkt. Hussein Ali Mwinyi (CCM) – Kura 448,892, sawa na asilimia 74.80
- Hussein Juma Salum (TLP) – Kura 1,065, sawa na asilimia 0.18
- Khamis Faki Mgau (NRA) – Kura 1,161, sawa na asilimia 0.19
- Othman Masoud Othman (ACT-Wazalendo) – Kura 139,399, sawa na asilimia 23.22
- Juma Ali Khatib (ADA-TADEA) – Kura 1,455, sawa na asilimia 0.24
- Hamad Mohammed Ibrahim (UPDP) – Kura 1,299, sawa na asilimia 0.22
- Hamad Rashid Mohamed (ADC) – Kura 1,345, sawa na asilimia 0.22
- Ameir Hassan Ameir (MAKINI) – Kura 1,435, sawa na asilimia 0.24
- Dkt. Hussein Ali Mwinyi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), aliyepata kura 448,892, na
- Othman Masoud Othman wa Chama cha ACT-Wazalendo, aliyepata kura 139,399 ambapo kwa mujibu wa matokeo yaliyotangazwa na Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), Dkt. Mwinyi kutoka CCM amepata jumla ya kura 448,892, sawa na asilimia 74.8 ya kura halali, na hivyo kupewa ridhaa ya kuongoza Zanzibar kwa awamu nyingine.