CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,358
- 6,422
Kuna bwana mdogo ambaye anataka kugombea ukatibu mkuu wa Tucta. Yeye ni mwalimu ameshindwa kusaidia walimu wenzake akiwa kiongozi, leo anataka ukatibu mkuu wa Tucta, Shame upon him
Plantedkampeni chafu hizo..
Ni nani??Kuna bwana mdogo ambaye anataka kugombea ukatibu mkuu wa Tucta. Yeye ni mwalimu ameshindwa kusaidia walimu wenzake akiwa kiongozi, leo anataka ukatibu mkuu wa Tucta, Shame upon him
Nani huyo tena?
Jina lake nilisoma kwenye gazeti gani sijui jana, ila naona kama kuna mkono wa magamba wanampigia kampeni.
Ni dogo mmoja kutoka Magamba anaitwa MUSA MNYETI, ni mmoja wa mavuvuzela. Aliwahi pia kuchua form ya kuwania Uspika wakati akisoma UDSM
Ni dogo mmoja kutoka Magamba anaitwa MUSA MNYETI, ni mmoja wa mavuvuzela. Aliwahi pia kuchua form ya kuwania Uspika wakati akisoma UDSM
Kuna bwana mdogo ambaye anataka kugombea ukatibu mkuu wa Tucta. Yeye ni mwalimu ameshindwa kusaidia walimu wenzake akiwa kiongozi, leo anataka ukatibu mkuu wa Tucta, Shame upon him
Stop being negative to everybody. Kugombea kwani ndo kushinda. Mbona hata Dovutwa, Mzirai nao waligombea uraisi wa JMT. Sebuse TUCTA? Kila mtu anahaki ya kikatiba, hata wewe unaweza kugombea kama unazo sifa.
Asanteni sasa tunamjua, kwakuwa na mimi ni mpiga kura kwenye uchaguzi, kampeni naanza kwenye vyama vyote vinavyoiunda Tucta.