Communist
Pole sana ndugu yangu, kwa kauli hii nishagundua kuwa wewe utakuwa ni walewale, au utakuwa Hujuhi kitu kinachoendela ila unashabikia tu kama walivyowengi humu.
Ila nakushahuri chunguza Nyendo za Mdogo wa Regia alafu uje uniambie Kunani ?
Kuwa kamanda maana yake hata CCM wakiwa na kizuri ukichukie? Tuachukua vizuri wasivyovitekeleza na kuvifanyia kazi. Hii nisehemu ya siasa. Hata Nyerere aliwacheka CCM wenyewe kwa kuacha mazuri na kuchukua mabaya. (Hotuba ya Mbeya).Anaendela kuwasifia tu magamba huku anajiita KAMANDA!
labda Chipukizi lakini sio kamanda.
Nasema hivi, fuatilieni, na kama mimi ni muongo muniambie.
Nafikiri mpunguze hofu kwani kipindi hiki cha uchaguzi makundi hayaepukiki. Kinachotakiwa ni watu wajaze fomu nafasi wanazopenda kugombea na watu wasinyimwe fomu. Kila mgombea ataruhusiwa kufanya kampeni na ataulizwa maswali na wajumbe wa mkutano mkuu then kura za wajumbe ndio zitaamua. Wenye maamuzi ni wajumbe wapiga kura.
Kumbuka ni juzi tu uongozi wa muda uliwekwa na watu wahangaika kuunda makundi mengine. Mimi nimekataa, sitaki sitaki kabisa. Na nimetoa tu angalizo, ili hata hilo la kunyimwa fomu lisije tokea.Na baada ya uchaguzi makundi yote yanatakiwa yavunjwe na kuheshimu viongozi waliochaguliwa. Ni iwapo baadhi ya viongozi hawatakuwa watendaji wazuri bado wajumbe wa mkutano mkuu wanaweza tengua maamuzi ya awali.
Communist ni communist wacha hizo.Okay Jibu nilishalipata, Communist WEWE ni walewale, Ukweli ni kuwa hakuna aisye Jua UGOMVI mkubwa uliokuwepo kati ya Regia Na Suzan kugombea hilo Jimbo la Ifakara.
Na kw akuwa Nimekuuuliza Unajua Mdogo wake Regia yupo chama gani kwa sasa na Unazuga kujibu, basi nimeunganisha dot na Nimekuelewa, kwa vyovyote kama wewe sio Mdogo wake REGIA basi utakuwa ni Team Ilele!
By the way Do u know anything about malariaSugu Once the famous Name at JF kwa Kuinanga Chadema na hasa Viongozi wake wakuuu Dr.Slaa na Mbowe ? Unajua ID hii iliacha kutumika Lini?
kwa maana nyingine ni R.M
Kamati kuu imepitisha ratiba ya uchaguzi wa ndani ya chama kama ilivyopendekezwa na Sekretariati, kama ifuatavyo;Umekosea. Ni S.K
Ah kumbeee. Fomu ndio zimetoka leo. Changamkeni
Asante kwa taarifa, labda sikusoma uzi wako. nimekuelewa. Ila najitambua sana, unanionea tu kwa hilo.we jamaa kweli hujitambui fomu ziimetoka siku nyingi na hata humu JF mimi niliweka za mwenyekiti na ilitangazwa humu na ni Kurugenzi ya Habari Chadema alileta humu tarifa tokea tarehe 28/7/2014 wewe ulikuwa wapi?
Source: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...chama-chadema-pamoja-na-fomu-za-kugombea.html
Mimi ndiye nilimtaja huyo mtu, na Sikusema amehujumu chama maana kama angekuwa anauwezo w akuujumu angebaki CDM, ila kwa kuwa hana uwezo akakimbilia ACT.
Nyie kweli ni watu wa majungu, huyo kaingiaje kwenye uzi huu. Najua SK anamuogopa sana, lakini hayumo humu, yule ni mstaarabu.Nakushukuru sana KIBANGA Ampiga Mkoloni. Hiyo tu nayo ni taarifa. Kumbe ndio maana hatumuoni FB siku hizi. Mara ajibadilishe ajiite Remija wa Yesu mara nini....oooh! Huo nao ni usaliti. Tumpeleka Kalenga kusimamia uchaguzi kumbe inawezekana alikuwa tayari ana elements za ACT kwa hiyo ni mmoja wa watu waliotusaliti. Tunaendelea na Uchunguzi....
Kumbe ulifurahia watu kukalengwa, haya bana.Nakushukuru sana KIBANGA Ampiga Mkoloni. Hiyo tu nayo ni taarifa. Kumbe ndio maana hatumuoni FB siku hizi. Mara ajibadilishe ajiite Remija wa Yesu mara nini....oooh! Huo nao ni usaliti. Tumpeleka Kalenga kusimamia uchaguzi kumbe inawezekana alikuwa tayari ana elements za ACT kwa hiyo ni mmoja wa watu waliotusaliti. Tunaendelea na Uchunguzi....
Nimejaribu kufuatilia tarehe ya post ya mwisho ya malariasugu lakini nimeshindwa. Nilitaka kuangalia kama inaweza kuendana na tarehe ya kifo cha huyo.kwa maana nyingine ni R.M
Kuanzia Lini Mdogo wa Regia alihama CHADEMA? Je yupoo chama gani kwa sasa ? Na unajua ni nani yuko nao huko?
Communist
Pole sana ndugu yangu, kwa kauli hii nishagundua kuwa wewe utakuwa ni walewale, au utakuwa Hujuhi kitu kinachoendela ila unashabikia tu kama walivyowengi humu.
Ila nakushahuri chunguza Nyendo za Mdogo wa Regia alafu uje uniambie Kunani ?
Okay Jibu nilishalipata, Communist WEWE ni walewale, Ukweli ni kuwa hakuna aisye Jua UGOMVI mkubwa uliokuwepo kati ya Regia Na Suzan kugombea hilo Jimbo la Ifakara.
Na kw akuwa Nimekuuuliza Unajua Mdogo wake Regia yupo chama gani kwa sasa na Unazuga kujibu, basi nimeunganisha dot na Nimekuelewa, kwa vyovyote kama wewe sio Mdogo wake REGIA basi utakuwa ni Team
Ilele!
By the way Do u know anything about malariaSugu Once the famous Name at JF kwa Kuinanga Chadema na hasa Viongozi wake wakuuu Dr.Slaa na Mbowe ? Unajua ID hii iliacha kutumika Lini?