Uchaguzi wa mitaa ni utapeli mtupu

Uchaguzi wa mitaa ni utapeli mtupu

baharia Ar

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2013
Posts
837
Reaction score
316
Yaani Waziri wa Tamisemi ndio mkuu wa uchaguzi? Nashauri wanaharakati wapenda haki twendeni Mahakamani tukazuie uchaguzi huu unaokwenda kumwaga damu za watu,kwakuwa tume huru iko Mahakamani sasa ni muda uchaguzi huu wa Serikali mitaa ukazuiwe Mahakaman hadi pale utakapokuwa huru.

Plz wasomi tuokoenI kwa hili msiwe vichwa mizigo.Uchaguzi huu kama utafanyika chini ya Mbunge wa CCM yaani Waziri wa Tamisemi tusitegemee haki kutendeka sana sana itakuwa ni kuwachosha tu wapiga kura.

Tume sio huru na huu wa mitaa sio huru.

Naomba kutoa hoja
 
1568217455780.jpeg
 
Nyie toeni stress zenu mitandaoni sie tunachaguana tu
Mnawafanya watu wajinga,mlipokua na ukawa mlizoa mitaa mingi kwa sheria hizi hizi za Tamisemi,leo hamna ukawa hamna cha kuwaambia wananchi,mnakimbilia kubeza uchaguzi mitandaoni,sie tunafyeka tu
 
Nyie toeni stress zenu mitandaoni sie tunachaguana tu
Mnawafanya watu wajinga,mlipokua na ukawa mlizoa mitaa mingi kwa sheria hizi hizi za Tamisemi,leo hamna ukawa hamna cha kuwaambia wananchi,mnakimbilia kubeza uchaguzi mitandaoni,sie tunafyeka tu
Fyeken nanyie mtaja fyekwa coz hakuna jiwe litakalo salia juu ya jiwe.nuswala la muda tu
 
Ukimsusia panya kumwekea sumu sio kwamba yy atakususia kutafuna chupi zako.utajikuta unatembea matako wazi.tutumie akili zetu vizur zinaweza kutuvusha kukata tamaa ni dhambi
Asante Kwa ushauri Mkuu nimekuelewa
 
Nyie toeni stress zenu mitandaoni sie tunachaguana tu
Mnawafanya watu wajinga,mlipokua na ukawa mlizoa mitaa mingi kwa sheria hizi hizi za Tamisemi,leo hamna ukawa hamna cha kuwaambia wananchi,mnakimbilia kubeza uchaguzi mitandaoni,sie tunafyeka tu
Kumbe hii sheria inayompatia mamlaka Waziri wa Tamisemi kusimamia uchaguzi siyo mpya? Nilidhani ni sheria mpya kumbe akina Waitara walishinda uenyekiti wa serikali ya mtaa kwa sheria hii hii wakati wakiwa CHADEMA!!
 
kisimbuzi changu cha kura mi nilishakichoma moto awamu ikipita mnistue nikaandikishe chengine
 
Kumbe hii sheria inayompatia mamlaka Waziri wa Tamisemi kusimamia uchaguzi siyo mpya? Nilidhani ni sheria mpya kumbe akina Waitara walishinda uenyekiti wa serikali ya mtaa kwa sheria hii hii wakati wakiwa CHADEMA!!
Chadema.ni wasanii tu na waongo wakubwa
 
Yaani Waziri wa Tamisemi ndio mkuu wa uchaguzi? Nashauri wanaharakati wapenda haki twendeni Mahakamani tukazuie uchaguzi huu unaokwenda kumwaga damu za watu,kwakuwa tume huru iko Mahakamani sasa ni muda uchaguzi huu wa Serikali mitaa ukazuiwe Mahakaman hadi pale utakapokuwa huru.

Plz wasomi tuokoenI kwa hili msiwe vichwa mizigo.Uchaguzi huu kama utafanyika chini ya Mbunge wa CCM yaani Waziri wa Tamisemi tusitegemee haki kutendeka sana sana itakuwa ni kuwachosha tu wapiga kura.

Tume sio huru na huu wa mitaa sio huru.

Naomba kutoa hoja
Pambana na maisha ya wadogo zako ambao umewadhurumu Mali za urithi kwa tamaa zako mbaya
 
Back
Top Bottom