jonas amos
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 3,648
- 4,451
Nilitaman kama kijana mwenye kujielewa utasema nan anafaa kusimamia badala hao unaowakataa
Kinyume na hapo keleleeeeeee zenu zinaishia ulipo
Kinyume na hapo keleleeeeeee zenu zinaishia ulipo
Badala ya kwenda mahakamani kurudisha kiwanja ulichotapeliwa we unaenda kuwapigania wanasiasa? Lowassa uliyempigia kura na kuzungusha mikono yupo wapi?? Jiongeze wewe bavichaYaani Waziri wa Tamisemi ndio mkuu wa uchaguzi? Nashauri wanaharakati wapenda haki twendeni Mahakamani tukazuie uchaguzi huu unaokwenda kumwaga damu za watu,kwakuwa tume huru iko Mahakamani sasa ni muda uchaguzi huu wa Serikali mitaa ukazuiwe Mahakaman hadi pale utakapokuwa huru.
Plz wasomi tuokoenI kwa hili msiwe vichwa mizigo.Uchaguzi huu kama utafanyika chini ya Mbunge wa CCM yaani Waziri wa Tamisemi tusitegemee haki kutendeka sana sana itakuwa ni kuwachosha tu wapiga kura.
Tume sio huru na huu wa mitaa sio huru.
Naomba kutoa hoja
Nyie toeni stress zenu mitandaoni sie tunachaguana tu
Mnawafanya watu wajinga,mlipokua na ukawa mlizoa mitaa mingi kwa sheria hizi hizi za Tamisemi,leo hamna ukawa hamna cha kuwaambia wananchi,mnakimbilia kubeza uchaguzi mitandaoni,sie tunafyeka tu
Nilitaman kama kijana mwenye kujielewa utasema nan anafaa kusimamia badala hao unaowakataa
Kinyume na hapo keleleeeeeee zenu zinaishia ulipo
Badala ya kwenda mahakamani kurudisha kiwanja ulichotapeliwa we unaenda kuwapigania wanasiasa? Lowassa uliyempigia kura na kuzungusha mikono yupo wapi?? Jiongeze wewe bavicha
Kumbe hii sheria inayompatia mamlaka Waziri wa Tamisemi kusimamia uchaguzi siyo mpya? Nilidhani ni sheria mpya kumbe akina Waitara walishinda uenyekiti wa serikali ya mtaa kwa sheria hii hii wakati wakiwa CHADEMA!!
Kura zitakueleza kama watZ ni k au lah.Wajue tu kuwa Watanzania si wajinga
Hawaamki leo wala kesho.Iko siku wataamka na hiyo siku inakaribia
Mahakama itasema Ni kutengeneza mgogoro Na bunge....
Na hiyo Mahakama iko huru?Yaani Waziri wa Tamisemi ndio mkuu wa uchaguzi? Nashauri wanaharakati wapenda haki twendeni Mahakamani tukazuie uchaguzi huu unaokwenda kumwaga damu za watu,kwakuwa tume huru iko Mahakamani sasa ni muda uchaguzi huu wa Serikali mitaa ukazuiwe Mahakaman hadi pale utakapokuwa huru.
Plz wasomi tuokoenI kwa hili msiwe vichwa mizigo.Uchaguzi huu kama utafanyika chini ya Mbunge wa CCM yaani Waziri wa Tamisemi tusitegemee haki kutendeka sana sana itakuwa ni kuwachosha tu wapiga kura.
Tume sio huru na huu wa mitaa sio huru.
Naomba kutoa hoja