Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,618
- 9,607
MALAWI: Leo Mei 21, wananchi wa Malawi wanapiga kura kuchagua Rais na Wabunge katika Uchaguzi Mkuu wa nchi hiyo
Takribani watu milioni 7 wamejiandikisha kwa ajili ya kupiga kura
Washindani wakubwa kwenye kiti cha Urais ni Rais wa sasa, Profesa Mutharika ambaye anachuana na aliyekuwa Makamu wake Dkt. Saulos Chilima
Takribani watu milioni 7 wamejiandikisha kwa ajili ya kupiga kura
Washindani wakubwa kwenye kiti cha Urais ni Rais wa sasa, Profesa Mutharika ambaye anachuana na aliyekuwa Makamu wake Dkt. Saulos Chilima