3squere
JF-Expert Member
- Aug 2, 2011
- 925
- 181
Kuna kila dalili za kurudiwa kwa uchaguzi wa jimbo la segerea ni kutokana na kesi inaenda vizuri kwani mashaidi wanamkaanga makongoro mahanga kuna kila dalili za wazi aliyekuwa mgombea kwa tiketi ya chadema kushinda kesi hiyo wito wangu kwa makamanda wote tujitokeze kwa wingi kwenye kesi hili tuonyeshe nguvu ya umma kama kawaida
Nawasilisha.
Nawasilisha.