Nokla
JF-Expert Member
- Aug 12, 2012
- 3,169
- 1,711
college huwa inapofikia kuwa inaweza kujitegemea kwa karibu mambo yote........lakin faculty msaada mkubwa inategemea kutoka chuo.....facaulty inawza kukua na kuwa college kama vile COET<DUCE n.k......vilevile hata SUA hapo baadae wantaka kuwa na college of agriculture engineering ...kwa ss wanajenga majengo na kuongeza degree programme za engineering
sawa kabisa mfano hata pale UDOM college zote zinajitegemea na zinaongozwa na principals ingawa mwisho wa siku ndo zinaunda chuo.