jimmy salya
Member
- May 28, 2013
- 6
- 0
katika sintofahamu imejitokeza pia manispaa ya sumbawanga ktk uchaguz wa wabunge na madiwan kula za maoni baada ya mgombea mmoja na wananchi kufanya fujo ofisi za ccm wilaya baada ya kukatwa jina mapema kabsa.
hiyo imekua ni kama taratibu za sasa baada ya mtu kushindwa kwamba ni dhahir
hiyo imekua ni kama taratibu za sasa baada ya mtu kushindwa kwamba ni dhahir