Uchaguzi wa Arumeru Kusimamishwa Mahakamani?

Kila Mtanzania ana HAKI ya kusikilizwa na mahakama.Pia kila Mtanzania ana Haki ya kupiga kura. Vijana hao waungane wakasimamishe tu huo uchaguzi mpaka kesi yao ya msingi itakaposikilizwa. Tume inatakiwa kuajiri na kufungua ofisi kila wilaya kwa ajili ya kazi hiyo na siyo kusubiri mpaka uchaguzi mkuu ufike.Ifike wakati taasisi zetu ziache kufanya kazi kwa mazoea, ziende na wakati. Tatizo Serikali yetu inaogopa changamoto za Upinzani.
 
Kwa sababu kuna uwezekano kuwa baada ya Uchaguzi wa 2010 mhe. Sumari hakuchukua kiti chake kama Mbunge wa Arusha- [kwa sababu hakuapishwa kama Mbunge wala hakuhudhuria kikao chochote kile cha Bunge la 10] kuna haja ya Tume ya Uchaguzi au mahakama ya kikatiba kuamua kama hii si kesi ya aliyekuwa wa pili katika uchaguzi wa 2010 asiwe Mbunge automatically.

Ni nini kianachotakiwa kufanywa ikiwa mara baada ya uchaguzi mkuu Mbunge Mteule aliyetangazwa kuwa mshindi akafariki kwenye accident etc kabla ya kuapishwa kama mbunge? Ikitokea kwa rais mteule nafikiri makamu wake mteule anachukuwa kiti [kwa nchi kama Tanzania au USA ambako Rais anagombea na Makamu wake].

Kwa nchi kama Kenya kufuata katiba iliyopita [ambapo Makamu wa Rais anachaguliwa na Rais Mteule baada ya kuapishwa] inabidi Rais Mteule aapishwe mara tu baada ya Tume ya Uchaguzi kutangaza Matokeo ya Uchaguzi otherwise kutakua na ombwe katika uongozi - mwaka 2007 Kibaki aliapishwa saa moja jioni pale state house Nairobi saa moja baada ya Tume ya Uchaguzi kumtangaza kama rais].

Kwa vile Uchaguzi Mdogo unagharimu fedha nyingi [Igunga iligharimu Billioni 3] na kufuatia hali ya Ukata wa Bajeti ya Serikali nafikiri possibility of filling this post by automatically swearing in the second candidate in the 2010 elections should be seriously pursued. This could be possible under the current constitution - if not possible this option should be seriously considered in the new constitution.
 
kwa mtazamo wangu hao vijana wanahoja ya msingi.nivyema daftari la uchaguzi likafanyiwa uhakiki kwanza
 
Kwa sababu kuna uwezekano kuwa baada ya Uchaguzi wa 2010 mhe. Sumari hakuchukua kiti chake kama Mbunge wa Arusha- [kwa sababu hakuapishwa kama Mbunge wala hakuhudhuria kikao chochote kile cha Bunge la 10] kuna haja ya Tume ya Uchaguzi au mahakama ya kikatiba kuamua kama hii si kesi ya aliyekuwa wa pili katika uchaguzi wa 2010 asiwe Mbunge automatically.

Ni nini kianachotakiwa kufanywa ikiwa mara baada ya uchaguzi mkuu Mbunge Mteule aliyetangazwa kuwa mshindi akafariki kwenye accident etc kabla ya kuapishwa kama mbunge? Ikitokea kwa rais mteule nafikiri makamu wake mteule anachukuwa kiti [kwa nchi kama Tanzania au USA ambako Rais anagombea na Makamu wake].

Kwa nchi kama Kenya kufuata katiba iliyopita [ambapo Makamu wa Rais anachaguliwa na Rais Mteule baada ya kuapishwa] inabidi Rais Mteule aapishwe mara tu baada ya Tume ya Uchaguzi kutangaza Matokeo ya Uchaguzi otherwise kutakua na ombwe katika uongozi - mwaka 2007 Kibaki aliapishwa saa moja jioni pale state house Nairobi saa moja baada ya Tume ya Uchaguzi kumtangaza kama rais].

Kwa vile Uchaguzi Mdogo unagharimu fedha nyingi [Igunga iligharimu Billioni 3] na kufuatia hali ya Ukata wa Bajeti ya Serikali nafikiri possibility of filling this post by automatically swearing in the second candidate in the 2010 elections should be seriously pursued. This could be possible under the current constitution - if not possible this option should be seriously considered in the new constitution.

Mkuu naomba ni-comment kidogo hapo kwenye red. Inawezekana kweli uligharimu kiasi hicho cha fedha lakini UNADHANI ULISTAHILI KUGHARIMU HIVYO? Kama badala ya kuendesha chaguzi za kistaarabu badala yake serikali nzima inahamia huko na kila aina ya utukufu kwa taifa masikini kama hili unategemea nini?

Kama matumizi ya rushwa na mbinu nyingine chafu kwetu ndio mbinu za uchaguzi badala ya hoja na sera madhubuti ulitegemea gharama ziweje? Kama ushindi "kwa gharama yoyote ile" ndio lengo ulitegemea gharama zifananeje?

Pamoja na hayo, HAKI YA MSINGI ya mwananchi ya kupiga kura inasimama juu ya jambo lingine lolote zikiwamo hizo gharama za uchaguzi tunazozifanya kubwa kwa ujinga wetu na kutokubali au kuwa tayari kushindwa kistaarabu!
 
Huyu Damian Lubuva ni mwanasheria kweli?Mwana sheria gani ambaye hazingatii haki za msingi za kuchagua na kuchaguliwa?Kijana aliyekuwa na miaka 16 mwaka 2010 hakuweza kupiga kura maana alikuwa hajafikisha umri halali wa kuruhusiwa lkn mwaka 2012 kijana huyu anaruhusiwa kupiga kura kwa sababu sasa katimiza umri unaotajwa ndani ya Katiba!

Iweje Mwanasheria aliyefikia hata kuwa Jaji asilijue hili?Why serikali sasa inawaogopa vijana?CHADEMA suala hili si dogo na ndiyo mustakabali wenu wa kuichukua nchi utakapo anzia-nendeni MAKAHAMANI HARAKA MSIOGOPE GHARAMA maana demokrasia ina gharama zake!

Why kijana ambaye hakuwa na sifa za umri mwaka 2010 lkn sasa 2012 kapata sifa hiyo ASIPIGE kura ya kumchagua kiongozi wake ARUMERU?
 
Kwa sababu kuna uwezekano kuwa baada ya Uchaguzi wa 2010 mhe. Sumari hakuchukua kiti chake kama Mbunge wa Arusha- [kwa sababu hakuapishwa kama Mbunge wala hakuhudhuria kikao chochote kile cha Bunge la 10] kuna haja ya Tume ya Uchaguzi au mahakama ya kikatiba kuamua kama hii si kesi ya aliyekuwa wa pili katika uchaguzi wa 2010 asiwe Mbunge automatically.

Ni nini kianachotakiwa kufanywa ikiwa mara baada ya uchaguzi mkuu Mbunge Mteule aliyetangazwa kuwa mshindi akafariki kwenye accident etc kabla ya kuapishwa kama mbunge? Ikitokea kwa rais mteule nafikiri makamu wake mteule anachukuwa kiti [kwa nchi kama Tanzania au USA ambako Rais anagombea na Makamu wake].

Kwa nchi kama Kenya kufuata katiba iliyopita [ambapo Makamu wa Rais anachaguliwa na Rais Mteule baada ya kuapishwa] inabidi Rais Mteule aapishwe mara tu baada ya Tume ya Uchaguzi kutangaza Matokeo ya Uchaguzi otherwise kutakua na ombwe katika uongozi - mwaka 2007 Kibaki aliapishwa saa moja jioni pale state house Nairobi saa moja baada ya Tume ya Uchaguzi kumtangaza kama rais].

Kwa vile Uchaguzi Mdogo unagharimu fedha nyingi [Igunga iligharimu Billioni 3] na kufuatia hali ya Ukata wa Bajeti ya Serikali nafikiri possibility of filling this post by automatically swearing in the second candidate in the 2010 elections should be seriously pursued. This could be possible under the current constitution - if not possible this option should be seriously considered in the new constitution.
Ni wazo zuri ila watauana sana
 
Nadhani mashirika ya haki za binadamu wajaribu kuwatetea vijana hawa
 
lakini si kawaida panapotokea uchaguzi wa dhalula huwa kuna process za kupitia kwenye office za kijiji kwa waliotimiza miaka 18 na waliopoteza kadi za kupigia kura kwa wkt huo, sasa huko imekuaje !
 
kwahiyo ina maana mtu mmoja akiwa hana kitambulisho cha kupigia kura anaweza kwenda mahakamani kuishtaki tume!? Na una amini kabisa kwamba hao watu watashinda!?

Huyo mtu moja unayemsema ni katika watu kumi naye yumo na bila moja uwezipata kumi. Halafu kumbuka sheria haijalishi kuwa ni mtu moja. Ila nakuuliza ni haki kumzuia raia aliefikisha miaka 18 kutokupiga kura?. Kinachochotakiwa kitabu cha uandikishaji wapiga kura iwe up 2 date kila mwezi kama ilivyoshuguli za serikali wilayani,vijijini. Atuwezi kusema kuwa kama ulipiga au kujiandikisha kupiga kura mwaka 2010 ndio iwe tena mpaka 2014/15. Kama hawezi kuiup 2date basi kwenye kila jimbo linalorudiwa chaguzi basi kitabu cha wapiga kura kirekebishwe kabla ya upigaji kura.
 
Huyo mtu moja unayemsema ni katika watu kumi naye yumo na bila moja uwezipata kumi. Halafu kumbuka sheria haijalishi kuwa ni mtu moja. Ila nakuuliza ni haki kumzuia raia aliefikisha miaka 18 kutokupiga kura?. Kinachochotakiwa kitabu cha uandikishaji wapiga kura iwe up 2 date kila mwezi kama ilivyoshuguli za serikali wilayani,vijijini. Atuwezi kusema kuwa kama ulipiga au kujiandikisha kupiga kura mwaka 2010 ndio iwe tena mpaka 2014/15. Kama hawezi kuiup 2date basi kwenye kila jimbo linalorudiwa chaguzi basi kitabu cha wapiga kura kirekebishwe kabla ya upigaji kura.
Wazo zuri sana mkuu
 
Back
Top Bottom