Uchaguzi wa 2015 kama hakutakuwa na tume huru wala Katiba Mpya tufanyeje?

Joblube

JF-Expert Member
Mar 4, 2011
369
151
Wana JF nemekuwa nikiangalia hali ya kisiasa hapa nchini inavyokenda na jinsi CCM walivyopoteza umaarufu na mbinu wanazotumia kuiuwa CHADEMA zinakwama siku hadi siku na kwasasa wanatafuta silaha za maangamizi kwa kukihusisha na uhaini. Nimepata hisia kuwa ujanja utakaofuata wakishindwa kuiuwa CHADEMA itakuwa nikuchelewesha kiufundi suala la kuwa na tume huru (katiba mpya) ili uchaguzi 2015 ufanyike bila katiba mpya kwa sababu zozote zile ikitokea hivyo tufanyeje? tuelimishane.
 
WananchiTutamuweka Kiongozi kwa njia ya UMMA full stop hatutakubali kuingia tena kwenye kiini macho
 
Wewe nani aliyekuambia kuwa katiba na tume huru itapataikana kabla ya 2015? nani alisema na wapi?

Kuna maoni huwa tunaotoa humu tunaoneakanaga wabaya

2015 katiba na tume ni hii hii na vyama unavyovipenda na kuvisujudu VITASHIRIKI TU! CHADEMA na wengine hawana ubavu wa kukataa uchaguzi mkuu

Ukitaka chadema na wengine wasiingine kwenye uchaguzi na katiba hiii, itaona akili ni kuwabana hao viongozi wako wa chadema uliowaamini sana na kuwasujudia! ukiwabana hao wakaona viti walivyokali ni vya moto, utapata katiba mpaya hata kesho, mkichekeana chekeana na kutekenyana na kuoneana aibu kwa sababu ya UPENDO, KATIBA MPYA ni ndoto, nilisema kabla ya uchaguzi, wakati chadema wanaanza tuliwaasa waangalie hii move, leo hii katiba KIMYA KABISA, bado unasema CCM wanakiua chadema, wakati wanajiua wao,
 
Duu kutekenyana mmh hiyo kali ,Lakini umesema ukweli wakikalia swala la katiba chadema itakula kwao
 
Swali zuri kaka mkubwa. Sasa kwa vile mimi sijala tangu asubuhi(kutokana na ufinyu wa bajeti yangu uliosababishwa na mfumuko wa bei), ngoja tusubiri walioshiba sehemu ya kodi zetu mf. Waberoya, Kashaga, zubeda, nm Hafif, Majimshindo, MS n.k. waje watuzodoe weeh!
 
Wewe nani aliyekuambia kuwa katiba na tume huru itapataikana kabla ya 2015? nani alisema na wapi?

Kuna maoni huwa tunaotoa humu tunaoneakanaga wabaya

2015 katiba na tume ni hii hii na vyama unavyovipenda na kuvisujudu VITASHIRIKI TU! CHADEMA na wengine hawana ubavu wa kukataa uchaguzi mkuu

Ukitaka chadema na wengine wasiingine kwenye uchaguzi na katiba hiii, itaona akili ni kuwabana hao viongozi wako wa chadema uliowaamini sana na kuwasujudia! ukiwabana hao wakaona viti walivyokali ni vya moto, utapata katiba mpaya hata kesho, mkichekeana chekeana na kutekenyana na kuoneana aibu kwa sababu ya UPENDO, KATIBA MPYA ni ndoto, nilisema kabla ya uchaguzi, wakati chadema wanaanza tuliwaasa waangalie hii move, leo hii katiba KIMYA KABISA, bado unasema CCM wanakiua chadema, wakati wanajiua wao,

Kushiri uchaguzi ni kitu muhimu iwe na katiba mpya au hata bila katiba mpya, iwe tume mpya au hata bila tume mpya, Chadema wasiposhiriki kuna vyama mamluki vitashiriki na hapo nchi itakuwa haina tena chama pinzani bungeni, na mapambano yatakuwa yameishia hapo.

Na ni nani kakwambia kwamba ni lazima tusubiri uchaguzi ujao kubadili hii serikali ya kifisadi, sisi wanachi ndio serikali tukiona hakuna kinachoendelea uvumilivu utakoma na hapo ndipo kutachimbika! tunataka ndani ya mwaka huu mchakato wa katiba na tume huru ya uchaguzi vianze, na ikishindikana kabisa tutalinda kura zetu majimbo yote next electin kama mza na arusha walivyofanya Chadema endelea kuamsha na kuhamasisha watu watazinduka tu kwani watanzania wanaakili ila walikuwa hawaelezwi ukweli na nini haki zao.
 
Swali zuri kaka mkubwa. Sasa kwa vile mimi sijala tangu asubuhi(kutokana na ufinyu wa bajeti yangu uliosababishwa na mfumuko wa bei), ngoja tusubiri walioshiba sehemu ya kodi zetu mf. Waberoya, Kashaga, zubeda, nm Hafif, Majimshindo, MS n.k. waje watuzodoe weeh!
wewe zezeta kila anayepingana na hoja zako basi ni mbaya wako. sasa kuna haja gani ya kujadiliana humu na kubadilishana mawazo kama hutaki challenges? unataka watu waandike kile unachotaka tu.
Expand your thought man/woman
 
Wewe nani aliyekuambia kuwa katiba na tume huru itapataikana kabla ya 2015? nani alisema na wapi?

Kuna maoni huwa tunaotoa humu tunaoneakanaga wabaya

2015 katiba na tume ni hii hii na vyama unavyovipenda na kuvisujudu VITASHIRIKI TU! CHADEMA na wengine hawana ubavu wa kukataa uchaguzi mkuu

Ukitaka chadema na wengine wasiingine kwenye uchaguzi na katiba hiii, itaona akili ni kuwabana hao viongozi wako wa chadema uliowaamini sana na kuwasujudia! ukiwabana hao wakaona viti walivyokali ni vya moto, utapata katiba mpaya hata kesho, mkichekeana chekeana na kutekenyana na kuoneana aibu kwa sababu ya UPENDO, KATIBA MPYA ni ndoto, nilisema kabla ya uchaguzi, wakati chadema wanaanza tuliwaasa waangalie hii move, leo hii katiba KIMYA KABISA, bado unasema CCM wanakiua chadema, wakati wanajiua wao,

Mliwaasa CHADEMA nyie akina nani? Swala la katiba kweli lilikuwa kwenye ilani ya uchaguzi ya CDM. CCM kupitia Rais wa NEC wameanzisha mchakato na kuwakaribisha wote tulifanikishe. Sioni exclusive role ya CDM kusimama kipekee kulisukuma hili. Nina maana ni letu wote kupitia mawakala (vyama vya siasa) kwa mkondo wa kisiasa.

Siungi mkono kauli za kuuana kivyama kwa sababu ni upuuzi. Kila chama kina ajenda yake na maamuzi ni sanduku la kura. Mkakati wa maana hata Katiba hii mbovu na tume tata bado CDM wanaweza kupigiwa kura wakashinda kwa wapiga kura kulinda kura zao tukiwemo mimi na wewe.

TUWAUNGE MKONO KWENYE VYAMA VYETU KWA KILE TUNACHOAMINI KINA MANUFAA KWA TAIFA LETU. TUSIWE FRUSTRATED KWA SPECULATIONS ZA kuuana ki vyama.
 
wewe zezeta kila anayepingana na hoja zako basi ni mbaya wako. sasa kuna haja gani ya kujadiliana humu na kubadilishana mawazo kama hutaki challenges? unataka watu waandike kile unachotaka tu.
Expand your thought man/woman

Mbona sioni kosa lake mkuu?
 
Tatizo kuna vyama mamluki vingi tu ambavyo vitashiriki uchaguzi hata yasipotokea mabadiliko ya katiba ya nchi. Vyama vingekuwa na msimamo mmoja vingesusia uchaguzi kushinikiza uwanja sawa wa ushindani. Kwa hali ya njaa za wapinzani wengi Tanzania, itachukua mda kufikia ukombozi wa kweli.
 
Swali zuri kaka mkubwa. Sasa kwa vile mimi sijala tangu asubuhi(kutokana na ufinyu wa bajeti yangu uliosababishwa na mfumuko wa bei), ngoja tusubiri walioshiba sehemu ya kodi zetu mf. Waberoya, Kashaga, zubeda, nm Hafif, Majimshindo, MS n.k. waje watuzodoe weeh!

huu ni ubunifu wa fikira .... asante sana

tukirudi kwenye mada .... hii ni sintofahamu
 
Ni kusogeza mbele siku na mwaka wa uchaguzi mpaka pale tume huru ya uchaguzi Huyu Mzee wa kaya hana nia ya dhati ya Katiba mpya
 
wewe zezeta kila anayepingana na hoja zako basi ni mbaya wako. sasa kuna haja gani ya kujadiliana humu na kubadilishana mawazo kama hutaki challenges? unataka watu waandike kile unachotaka tu.
Expand your thought man/woman

Kama imeuma chomoa!
 
Kushiri uchaguzi ni kitu muhimu iwe na katiba mpya au hata bila katiba mpya, iwe tume mpya au hata bila tume mpya, Chadema wasiposhiriki kuna vyama mamluki vitashiriki na hapo nchi itakuwa haina tena chama pinzani bungeni, na mapambano yatakuwa yameishia hapo.

Na ni nani kakwambia kwamba ni lazima tusubiri uchaguzi ujao kubadili hii serikali ya kifisadi, sisi wanachi ndio serikali tukiona hakuna kinachoendelea uvumilivu utakoma na hapo ndipo kutachimbika! tunataka ndani ya mwaka huu mchakato wa katiba na tume huru ya uchaguzi vianze, na ikishindikana kabisa tutalinda kura zetu majimbo yote next electin kama mza na arusha walivyofanya Chadema endelea kuamsha na kuhamasisha watu watazinduka tu kwani watanzania wanaakili ila walikuwa hawaelezwi ukweli na nini haki zao.

Ushauri huu umekwenda shule naikubali 100%
 
Back
Top Bottom