PostGE2025 Uchaguzi umekataliwa hadi na SADC, AU halafu umeripotiwa kote Duniani kuwa umeua maelfu then unaomba sympathy EU? Na bado

PostGE2025 Uchaguzi umekataliwa hadi na SADC, AU halafu umeripotiwa kote Duniani kuwa umeua maelfu then unaomba sympathy EU? Na bado

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Naomba nirudie kusema hatujafanya uchaguzi nchi hii, yaliyofanyika ulikuwa uchaguzi wa ndani wa ccm ambao nao ccm waliupinga, mgombea alijiteuwa wakakataa, akabadirisha katiba yao wakakataa.
Ogopa sana hadi wapuuzi wenzake SADC na AU wamesema hakukuwa na chaguzi huru. Atakimbilia wapi? Atamshawishi nani hapa duniani amuelewe?

Huyu kibibi ni mpumbavu sana. Na alivyokunywa damu za Watanganyika lazima alipie. Ni suala la muda tu.
 
Back
Top Bottom