PostGE2025 Uchaguzi umekataliwa hadi na SADC, AU halafu umeripotiwa kote Duniani kuwa umeua maelfu then unaomba sympathy EU? Na bado

PostGE2025 Uchaguzi umekataliwa hadi na SADC, AU halafu umeripotiwa kote Duniani kuwa umeua maelfu then unaomba sympathy EU? Na bado

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
..malezi ya waislamu yana walakini mkubwa, yanafundisha kutojali watu na hasa wa imani zingine, pili yanafunza ukatili, ujeuri, kiburi, majivuno, anasa na dharau..kwa hali yoyote ile kelele zilizopigwa kabla ya uchaguzi, kwa mtu alielelewa vyema kiimani, lazima angechukua hatua ya kutogombea ili hali iwe salama yeye asiwe sababu ya vifo km ilivyotokea na viongozi wake wa imani wangeweza hata kumlazimisha akubali kukaa pembeni!
Matumizi ya utashi kwao yameshaporwa na majini

Wale ni AI kwa software ya Waarabu ukizaliwa kwenye nyumba yao ukianza kutumia utashi unaoenekana mjaa laana

Ukweli ni kwamba hawafai kwa usimamizi mkubwa
 
Huyu Bibi alinishangaza wakati akiapisha cabinet yake isiyo na uhalali.....alisema sasa tujjifunge,tutumie fedha zetu kidogo za ndani kukamilisha moradi yetu maana huko tulikozoea kupewa hatutaangaliwa tena kutokana na haya yaliyotokea.

Sisi tunahoji :
Kumbe anajua kilichotokea?
Kwa nini alishupaza shingo wakati anajua madhara ya alichofanya?
Mtu form 4 tu imemshinda, unategemea awe na maajabu gani mwenye masuala mazito kama hayo. Sifuri ya kwenye mtihani inahakisi 0 kichwani.
 
Hata kabla ya Uchaguzi, Bunge la Umoja wa Ulaya lilikuzungumzia sana namna unavyoteka na kupoteza watu.

Ulivyo na kiburi uliwapuuza. Ukazidi kuwateka, kuwafira, kuwaua na kuwafungulia kesi za Uongo Watanganyika.

Ukamkamata mwenyekiti wa Chadema wakakuambia muachie ukasema wewe hupangiwi. Ukakizuia Chama chake kufanya siasa wakakwambia kifungulie ukasema wewe nchi huru hupangiwi.

Ukawazuia hadi Madalali wako ACT kugombea Urais wakakusema ukaleta kiburi. Sasa wameanza kukuchukulia hatua unalalamika nini?

Wazungu ni watu wastaarabu sana. Uzuri kabla hawajakuchukulia hatua uwa wanakupa ushirikiano wa kila namna. Wanakuonya kwenye kila hatua. Na inapofika hatua ya kukuchukulia adhabu pia wanakwambia.

Umefanya uchaguzi ambao hadi wasimamizi wa Afrika ambao siku zote wanajulikana kuwabeba waafrika wenzao wamekukataa. Wamesema uchaguzi haukuwa huru na wa haki. Mbaya zaidi ukaua maelfu ya watu na sasa Dunia nzima inataka uwajibishwe.

Kwa tulipofika hakuna namna mnaweza chomoka kuanzia wewe mwenyewe Samia na watu wako DGIS, IGP na CDF.

Mjadala wa Bunge la EU sio tu utaenda kuwaambia Nchi wanachama wasitoe fedha zao kwa Tanzania bali unaenda pia kuwaambia rasmi ICC wawachukulie hatua kali nyie mliua Watanganyika kikatili sana.


Hamuwezi kumwaga damu za Watanganyika namna hii na mkabaki salama.

Tukutane ICC
nan kakwambia anataka sympathy
 
Huyu Bibi alinishangaza wakati akiapisha cabinet yake isiyo na uhalali.....alisema sasa tujjifunge,tutumie fedha zetu kidogo za ndani kukamilisha moradi yetu maana huko tulikozoea kupewa hatutaangaliwa tena kutokana na haya yaliyotokea.

Sisi tunahoji :
Kumbe anajua kilichotokea?
Kwa nini alishupaza shingo wakati anajua madhara ya alichofanya?
Kuna hike ya kodi inakuja soon vitu bei zitakuwa hazi shikiki.
 
Ila mbinu zao ovu zote zina backfire. Wamebaki peke yao wanajiaminisha ujinga wao halafu wanalazimisha dunia nzima iamini wanachoamini wao. Usipoamini upuuzi wao na ukawapinga hadharani kuna mawili, kama wanakumudu wanakuteka. Wasipokumudu ama walie huwatendei haki kama wanavyolia kwa CNN au wafanye siasa ya majitaka wachafue image yako.

But huu ni mwaka wa kufa manyani...akili zitakuja tu kukaa sawa
 
..malezi ya waislamu yana walakini mkubwa, yanafundisha kutojali watu na hasa wa imani zingine, pili yanafunza ukatili, ujeuri, kiburi, majivuno, anasa na dharau..kwa hali yoyote ile kelele zilizopigwa kabla ya uchaguzi, kwa mtu alielelewa vyema kiimani, lazima angechukua hatua ya kutogombea ili hali iwe salama yeye asiwe sababu ya vifo km ilivyotokea na viongozi wake wa imani wangeweza hata kumlazimisha akubali kukaa pembeni!
Niliwaambia watu kuwa viongozi Muslim ni shit...watu wananiita mdini ...je udini maana yake ni kusema ukweli na kutokua mdini maana yske ni kusema uongo yaani kuwa mnafiki ? Niliuliza kwanini marais wote waislamu hapa tz , familia zao na watoto wao utumia vyeo vya wazazi wao kufanya mambo ya kishenzi wala siyo kutenda mema ? Niliuliza kwa nini marais waislamu familia zao ujiinua sana kwa vyeo vya wazazi wao tofauti na marais wasio waislam tulio kuwa nao ? Mkapa Nyerere Magifuli hata watoto wao ilikuwa awajulikani wala awatajwi popote wala kujiinua kufanya ushenzi kwa vyeo vya wazali wao ...mfano Magufuli na Mkapa hakuna aliye jua watoto wao zaidi ya tetesi ...wala hakuna aliye teua mtoto wake kuwa kiongozi wala wanafamilia kuwapa uongozi si wake zao wala watoto zao ...mtazame samia ukoo wake wote kaupa vyeo kuanzia wabunge mawaziri usalama wa taifa mabenk tena wanafanya ushenzi kama huyu ABDUL MUUAJI MKAKAJI MFIRAJI ..nk ..Kikwete hadi mke wake yupo bungeni na alijipigia chapuo kuwa wake wa Viongozi walipwe mishahara kwa vyeo wa waume zao ? VIONGOZI WAISLAMU NDIYO WANAO TUALIBIA TAIFA NIMESHAULI WASIPEWE UONGOZI TENA NCHI IONGOZWE NA WASIO WAISLAMU.
 
..malezi ya waislamu yana walakini mkubwa, yanafundisha kutojali watu na hasa wa imani zingine, pili yanafunza ukatili, ujeuri, kiburi, majivuno, anasa na dharau..kwa hali yoyote ile kelele zilizopigwa kabla ya uchaguzi, kwa mtu alielelewa vyema kiimani, lazima angechukua hatua ya kutogombea ili hali iwe salama yeye asiwe sababu ya vifo km ilivyotokea na viongozi wake wa imani wangeweza hata kumlazimisha akubali kukaa pembeni!
Kuna kaukweli fulani hasa nikikumbuka tawala za akina iddi Amini,sadamu huseni,mohamed gadafi na Elbashiri wa sudani,na Ally Asady wa syria hawana tofauti na huyu wa kwetu
 
Kuna hike ya kodi inakuja soon vitu bei zitakuwa hazi shikiki.
Na uzuri wa hizo kodi na tozo huwa hazichagui machawa wala wapigania haki, hata mimi natamani waongeze hayo matozo na makodi ili kusudi yale machawa yaliyobaki, yote yaanze kuongea lugha moja na wapigania haki na yajiunge kwenye movements za kuipinga serikali
 
Niliwaambia watu kuwa Muslim ni shir ...watu wananiita mdini ...je udini maana yake ni kusema ukweli na kutokua mdini maana yske ni kusema uongo yaani kuwa mnafiki ? Niliuliza kwanini marais wote waislamu hapa tz , familia zao na watoto wao utumia vyeo vya wazazi wao kufanya mambo ya kishenzi wala siyo kutenda mema ? Niliuliza kwa nini marais waislamu familia zao ujiinua sana kwa vyeo vya wazazi wao tofauti na marais wasio waislam tulio kuwa nao ? Mkapa Nyerere Magifuli hata watoto wao ilikuwa awajulikani wala awatajwi popote wala kujiinua kufanya ushenzi kwa vyeo vya wazali wao ...mfano Magufuli na Mkapa hakuna aliye jua watoto wao zaidi ya tetesi ...wala hakuna aliye teua mtoto wake kuwa kiongozi wala wanafamilia kuwapa uongozi si wake zao wala watoto zao ...mtazame samia ukoo wake wote kaupa vyeo kuanzia wabunge mawaziri usalama wa taifa mabenk tena wanafanya ushenzi kama huyu ABDUL MUUAJI MKAKAJI MFIRAJI ..nk ..Kikwete hadi mke wake yupo bungeni na alijipigia chapuo kuwa wake wa Viongozi walipwe mishahara kwa vyeo wa waume zao ? VIONGOZI WAISLAMU NDIYO WANAO TUALIBIA TAIFA NIMESHAULI WASIPEWE UONGOZI TENA NCHI IONGOZWE NA WASIO WAISLAMU.
Ni kweli kabisa..kwa hapa tulipofikia vyema kuwa wakweli, waislamu wajitathmini vile walivyo..lkn hatuwezi kuendelea kufanya makosa yale yale kila mara!
 
Ni kweli kabisa..kwa hapa tulipofikia vyema kuwa wakweli, waislamu wajitathmini vile walivyo..lkn hatuwezi kuendelea kufanya makosa yale yale kila mara!
Shida yetu kimsingi Watanganyika sio waislam au Wakristo. Shida yetu ni CCM, TISS, Polisi na Samia.
 
Shida yetu kimsingi Watanganyika sio waislam au Wakristo. Shida yetu ni CCM, TISS, Polisi na Samia.
Ni sawa, lkn km waislamu ndio wanaongoza hizo taasisi..basi tatizo si taasisi sabab zikiongozwa na watu wengine husikii ukatili km uliofanyika..
 
Ni sawa, lkn km waislamu ndio wanaongoza hizo taasisi..basi tatizo si taasisi sabab zikiongozwa na watu wengine husikii ukatili km uliofanyika..
Hapana Magufuli alikuwa mkristo na mkatoliki ila bado aliwaua na kuwapoteza kina Ben Saanane. Aliamuru kushambuliwa kwa risasi Tundu Lissu

Shida yetu ni CCM na watu wake pamoja watu wao wa vyombo vya ulinzi na usalama.
 
Hapana Magufuli alikuwa mkristo na mkatoliki ila bado aliwaua na kuwapoteza kina Ben Saanane. Aliamuru kushambuliwa kwa risasi Tundu Lissu

Shida yetu ni CCM na watu wake pamoja watu wao wa vyombo vya ulinzi na usalama.
..lkn wao pia waislamu wanachangia sana uovu km wanakuwepo ndani ya taasisi na wao ndio wanafanya maamuzi, magufuli asingeweza lolote km TISS inaongozwa na waislamu na huko ccm wao ndio wengi, ndio maana uliona hakuelewana hata na viongozi wa imani yake, ukimuangalia magufuli wakati anaanza urais hakuwa hivyo alivyokuwa anafanya..alibadilika sana!
 
Hapana Magufuli alikuwa mkristo na mkatoliki ila bado aliwaua na kuwapoteza kina Ben Saanane. Aliamuru kushambuliwa kwa risasi Tundu Lissu

Shida yetu ni CCM na watu wake pamoja watu wao wa vyombo vya ulinzi na usalama.
Pitia hii link utaelewa tunachosema..
 
Naomba nirudie kusema hatujafanya uchaguzi nchi hii, yaliyofanyika ulikuwa uchaguzi wa ndani wa ccm ambao nao ccm waliupinga, mgombea alijiteuwa wakakataa, akabadirisha katiba yao wakakataa.
 
Back
Top Bottom