uchaguzi udom wachafuka

hivi jaman mwizi wa epe na aliekopa nbc hataki kulipa anatofauti gani.deni limefka mamilion sasa na anaongeza tu clab at
aki kulipa deni mm naona wote walewale
 
Nibaada ya kindumbwendumbwe cha uchaguzi wa serikali ya wanafunzi chuo kikuu cha DODOMA (UDOM), uchaguzi ulofanyika leo tarehe 7 may 2011 licha ya kuhailishwa jana
baada ya dosari zilizo husisha kukosekana kwa baadhi ya majina ya wagombea, na tume kutohaminika uchaguzi ulihailishwa na kufanyika leo juma pili. hali ya uchaguzi ilikuwa tulivu,zoezi liliendelea vizuri likisimamiwa na mwenyekiti wa tume mr Asali Issa (BAED 3rd year). mwanadada pekee kwa jina la DEBORA, amejinyakulia ushindi wa kura nyingi sana akimuangusha asimu wake BASHE (kura rasimi hazija tangazwa). BASHE alionekana kukosa mvuto baada ya kujulikana ana undugu na BASHE wa TABORA aliyesimamishwa na ROSTAM. hali ya wanafunzi ni chereko, wakishangilia ushindi mkubwa si wanawake tu hata wanaume. sura ya kisiasa inaonesha udini umesababisha mabo kuwa kama hivi akwani yalisikika na baada ya uchaguzi wanachuo walionekana kushangilia YESU YESU YESU AMESHINDA. habari zaidi ndugu wasomaji zitazidi kuwafikia kadiri tunavyo zipata.

Hapo penye bluu, haiwezekani kwamba uliwasikia vibaya mashabiki wake? Inawezekana walikuwa wanasema "YES, YES, AMESHINDA!" nawe ukawasikia kimachale chale kama vile wanasema YESU?

Haiyamkiniki kwa wasomi kudai Yesu kashinda baada ya mwanadamu mtenda dhambi kushinda uchaguzi wa kidunia....
 
tofautishakati ya shehe kwa maana ya mzee na sheikh kwamaana yakiongoz wa din hakuna sheikh aliesema anamlinda rais tz bt yupo mzee aliesema hivyo.we unazan mtu aliesaliti kiapo chamungu kumtumikia milele atawaacha salama watanzania?jaribu kufikiri kama mahakamani unatolewa ushahd mchumba wangu anamimba angekuwa rais siaibu kwa taifa kupata mtoto nje ya ndoa ikulu,ikulu kuna bar gani pale =iliwachumba waende bila kuoana
 
chuo umeenda kukua wewe upo college gani? Na jana kama ungehudhuria public lecture ya prof issa shivji chimwaga hall usinpost hii status
kabisaa
 
sasa matunda yake ni hayo kuleni sasa
na kama wewe ni mwelevu tafuta takwimu za watanzania na dini zao
sio kujifanya kuleta kelele za kidini tu hapa, harafu soma vizuri comment yangu
na hacha mambo binafsi ya viongozi
unakumbuka CLINTON alishinda uchaguzi hakiwa na kashifa ya kumnunuzia mwana mama monica
tofautishakati ya shehe kwa maana ya mzee na sheikh kwamaana yakiongoz wa din hakuna sheikh aliesema anamlinda rais tz bt yupo mzee aliesema hivyo.we unazan mtu aliesaliti kiapo chamungu kumtumikia milele atawaacha salama watanzania?jaribu kufikiri kama mahakamani unatolewa ushahd mchumba wangu anamimba angekuwa rais siaibu kwa taifa kupata mtoto nje ya ndoa ikulu,ikulu kuna bar gani pale =iliwachumba waende bila kuoana
 
chuo umeenda kukua wewe upo
college ya education ndio maana mawazo yako yamekaa ki ualim ualimu 2 Na kama ungekua social science na jana kama
ungehudhuria public lecture ya
prof issa shivji chimwaga hall
usingepost hii status
kabisaa
na mambo kama haya kuyapost humu ni kukishushia hadhi chuo watu wanatuchora wanatuona wajinga kumbe wajinga mpo wachache mnaotafuta sifa za kizamani.ushaona vyuo vingine wana viherehere vyj kupost humu kwani wenyewe hawana matukio? Mambo kama haya yaleteni udom chamber tuyajadili wanafunzi 2
 
chuo umeenda kukua wewe
upo
college ya education ndio
maana mawazo yako yamekaa
ki ualim ualimu 2 Na kama
ungekua social science na jana
kama
ungehudhuria public lecture ya
prof issa shivji chimwaga hall
usingepost hii status
kabisaa
na mambo kama haya
kuyapost humu ni kukishushia
hadhi chuo watu wanatuchora
wanatuona wajinga kumbe
wajinga mpo wachache
mnaotafuta sifa za
kizamani.ushaona vyuo vingine
wana viherehere vyj kupost
humu kwani wenyewe hawana
matukio? Mambo kama haya
yaleteni udom chamber
tuyajadili wanafunzi 2
 
halafu kesho tuna kiongozi aliyesoma chuo kikuu kwa post za kibaguzi kama hz? umeanza kupandikiza chuki ya kuchukiana kwa rangi, kesho utakuja na chuki ya dini ukabila mpaka maumbo ya nani mnene nani mwembamba, hizo fikra za kibaguzi ni viatu uvivue
 
hivi ndivyo chadema inavyolea vijana wake, kwa kweli ni kazi kubwa

yaani nilikua nashuka chini ili nikutane na ***** kama wewe,huo ni uchaguzi wa viongozi wa serikali ya wanafunzi au ni uchaguzi wa viongozi wa chadema?
acha us*****,....acha usiku
 
chuo umeenda kukua wewe
upo
college ya education ndio
maana mawazo yako yamekaa
ki ualim ualimu 2 Na kama
ungekua social science na jana
kama
ungehudhuria public lecture ya
prof issa shivji chimwaga hall
usingepost hii status
kabisaa
na mambo kama haya
kuyapost humu ni kukishushia
hadhi chuo watu wanatuchora
wanatuona wajinga kumbe
wajinga mpo wachache
mnaotafuta sifa za
kizamani.ushaona vyuo vingine
wana viherehere vyj kupost
humu kwani wenyewe hawana
matukio? Mambo kama haya
yaleteni udom chamber
tuyajadili wanafunzi 2
naomba msaada kwenye RED hapo
 
SI WAMESHANGILIA KWA YESU YESU ukichunguzautagundua hao niwale wenzetu wa kule kaskazn kwa mwenyekiti wetu
Mkuu, ulipojiunga humu hiyo juzi ulitakiwa kubisha hodi kwanza. Yaani wewe unajiunga kimya kimya na kuanza kashfa? Una maana waliomchagua huyo mshindi wote ni wa kaskazini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom