Mi naona Bishanga ndo anafaa...Hakuna kama Jamal Malinzi
Bila shaka utakuwa muhayaHutaki angalia muda na saa naandika sijawahi kosea ninachoandika sa sita mpaka saba usiku
Najua wengine wanajua wanashiriki kupambana na malinzi na lengo haswa wawepo kwenye zile kamati zaoo
Napenda kuwahakkikishia Ktk wOteee hakuna wa kupambana na MH JAMAL MALINZI
MAKAMU WA RAISI-MICHAEL WAMBURA....
NARUDIA SIJAWAHI KOSEA MDA KAMA HUU. UNIKUMBUSHE BAADA YA UCHAGUZI
Mmeahindwa kujibu hoja mnaeletea vihoja na kabila. Viva Malinzi viva.Bila shaka utakuwa muhaya
Amefanikiwa kuhakikisha mpira unachezwa uwanjani na sio mezani.kwani kafanikiwa wapi na kafeli wapi
Kapteni wa Yanga huyo. Si ndio MIKIA watasema wanafungwa sababu TFF inaongozwa na Yanga?[HASHTAG]#Ally[/HASHTAG] Mayai
Teh teh teh Mkuu unanivunjaga mbavu sana kwa hili jibu lako. Kuduu!Amefanikiwa kuhakikisha mpira unachezwa uwanjani na sio mezani.
Amefeli kuisaidia Simba kupanda ndege na kushinda rufaa yao FIFA
Yaani mikia haieleweki nini inataka na mwaka huu tumeyabana kotekote,hapa Malinzi,pale Mayai kule Madega.Kapteni wa Yanga huyo. Si ndio MIKIA watasema wanafungwa sababu TFF inaongozwa na Yanga?
Mwacheni Malinzi afanye kazi.
Swali siyo kafanikiwa wapi,bali ni wapi hajafanikiwa? Viva Jamal Emily Malinzi.kwani kafanikiwa wapi na kafeli wapi
Hajafanikiwa kuipandisha tz kisoka!!Swali siyo kafanikiwa wapi,bali ni wapi hajafanikiwa? Viva Jamal Emily Malinzi.