Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Hutaki angalia muda na saa naandika sijawahi kosea ninachoandika saa sita mpaka saba usiku
Najua wengine wanajua wanashiriki kupambana na Malinzi na lengo haswa wawepo kwenye zile kamati zao
Napenda kuwahakikishia katika wote hakuna wa kupambana na Mh. Jamal Malinzi
Makamu wa Rais - Michael Wambura
Narudia sijawahi kosea muda kama huu. Unikumbushe baada ya uchaguzi
Najua wengine wanajua wanashiriki kupambana na Malinzi na lengo haswa wawepo kwenye zile kamati zao
Napenda kuwahakikishia katika wote hakuna wa kupambana na Mh. Jamal Malinzi
Makamu wa Rais - Michael Wambura
Narudia sijawahi kosea muda kama huu. Unikumbushe baada ya uchaguzi