UCHAGUZI TFF: Rais bora kabisa Jamal Malinzi kuendelea na wadhifa wake

Hutaki angalia muda na saa naandika sijawahi kosea ninachoandika saa sita mpaka saba usiku

Najua wengine wanajua wanashiriki kupambana na Malinzi na lengo haswa wawepo kwenye zile kamati zao

Napenda kuwahakikishia katika wote hakuna wa kupambana na Mh. Jamal Malinzi

Makamu wa Rais - Michael Wambura

Narudia sijawahi kosea muda kama huu. Unikumbushe baada ya uchaguzi
Anafaa sana tena. Amefanya kwa kiasi kikubwa, let give him another term to finish his plans! Tuache mambo ya uroho! Mpe muda amalizie kazi aliyoianza.
Teacher can teach but students refuse to learn! kwa msenmo huo amejitahidi sana, kama umenielewa.
 
Anafaa sana tena. Amefanya kwa kiasi kikubwa, let give him another term to finish his plans! Tuache mambo ya uroho! Mpe muda amalizie kazi aliyoianza.
Teacher can teach but students refuse to learn! kwa msenmo huo amejitahidi sana, kama umenielewa.


nIMEWAAMBIWA NAITWA PDIDY USIKU WA MANANE SIKOSEI HATA SIKU MOJA WASUBIRIE MOTO WA JAMAL
 
Alianza vizuri mno.

Akaacha ofisi za TFF na kwenda kupanga Town Centre hadi FIFA wenyewe walipomwambia arudi Karume akiwa na mkia ndani. Pango lilishafika Shs million 400!

What a President!
 
Alianza vizuri mno.

Akaacha ofisi za TFF na kwenda kupanga Town Centre hadi FIFA wenyewe walipomwambia arudi Karume akiwa na mkia ndani. Pango lilishafika Shs million 400!

What a President!
amethubutuu huyo ndio tunamtaka
 
KAMA NAUONAAA ULE USIKU UJAOOO
RAIIIS WA TFF NIIIIIII......JAMAAAAL MALINZI

MAKAMUU WAKE NI MICHAEEEEL WAMBURAAA

MTANIAMBIAAA WAPWA ....UKITAKA NIWEKEE NAWAJUMBE NAWAWEKEA HAPAA
 
kampeni tayari??
Kmpeni aifanyiki jf mkuu huku tunatoa mawazo kuendeleza soka letu mawazo yako na yangu yanaweza badilisha wajumbe wasikosee kuleta mamluki na kuwaacha viongozi bora kabisa kaama Jamal malinzi..((nawakilisha)
 
Screenshot_20170622-155500.png
Screenshot_20170622-155353.png
 
Malinzia kashindwa kilabuni Yanga akatimuliwa na sasa pale TFF watu walipiga kura kwa mihemko mwaka 2013. Mwaka huu lazima wajumbe wamtimue hata kama alishawapanga.
 
Hutaki angalia muda na saa naandika sijawahi kosea ninachoandika saa sita mpaka saba usiku

Najua wengine wanajua wanashiriki kupambana na Malinzi na lengo haswa wawepo kwenye zile kamati zao

Napenda kuwahakikishia katika wote hakuna wa kupambana na Mh. Jamal Malinzi

Makamu wa Rais - Michael Wambura

Narudia sijawahi kosea muda kama huu. Unikumbushe baada ya uchaguzi
Wewe utakuwa nshomile
 
Back
Top Bottom