The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,667
Hivi kuna mtu anaefuatilia huu uchaguzi mkuu wa Zambia?
nimeshangaa kuwa Uchaguzi unafanyika baada ya Rais kukaa mwaka mmoja tu
kuna anaejua why?
Na huyu Rais alishinda kwa tofauti ya kura elfu 20 tu
na ndani ya mwaka mmoja anakutana tena na mpinzani wake
Kuna anaejua kidogo zaidi ya huu uchaguzi wa Zambia?
nimeshangaa kuwa Uchaguzi unafanyika baada ya Rais kukaa mwaka mmoja tu
kuna anaejua why?
Na huyu Rais alishinda kwa tofauti ya kura elfu 20 tu
na ndani ya mwaka mmoja anakutana tena na mpinzani wake
Kuna anaejua kidogo zaidi ya huu uchaguzi wa Zambia?