Uchaguzi mdogo wanukia Sumbawanga Mjini

Bofya sehemu ambayo inasema post a new topic af andika kichwa cha habari af uanze kuflow.


Nilipitiwa kiongozi, asante kwa kurekebisha.
Badala ya kuandika ''topic'' nikaandika ''mesage''
Bila shaka kamanda kule Igunga amekupata
 
Usitupe hasira na sisi tuende tukachome balozi za Waarabu!

Jua kwamba Dhambi ya kukashifu Roho Mtakatifu huwa Haisameheki
 
Kwani kawaida muda wa mwisho kukata rufaa toka hukumu ya mahakama kusomwa ni siku ngapi na katika hili la Sumbawanga mjini deadline ilikuwa lini?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…