huyu alisema aesh alisema wazi kuwa kikwete ni MUNGU, yeye ni YESU KRISTO, na yule DIwanini ROHO MTAKATIFU, sasa mahakama imetengua ushindi wa YESU KRISTO!!!!!!!
laana hizi za kujiita Mungu zitawatafuna wote watatu, kwa kuwa sijamsikia kikwete akikana kuwa yeye si MUNGU kama alivyotajwa huko Sumbawanga, ni wakati muafaka wa yeye kukataa hili