wana JF haya ni maoni yangu na ninafikiri ndio utakaokuwa ukweli wenyewe; kutokana na nguvu kubwa waliotumia chama tawala ccm katika uchaguzi mdogo wa Igunga, kwa maoni yangu mimi chama cha mapinduzi (ccm) kitaibuka kidedea katika uchaguzi huu. kwa mantiki hiyo natabiri kuwa matokea yatakuwa kama ifuatavyo:
1. Mgombea wa CCM atapata= 67%
2. Mgombea wa CUF atapata= 23%
3. Mgombea wa CHADEMA atapata= 8%
4. Wagombea wa vyama vingine watapata kwa ujumla wao = 2%
HONGERA SANA CCM!!! PLOLENI SANA MAGWANDA KWA KULIZWA KWA MARA NYINGINE TENA!
Kwa kuchakachua na kupiga watu mabomu ya machozi na hata kuua na kisha kunyakua masanduku ya kura kwa nguvu na kukimbia nayo ndivyo itakavyokuwa! Tofauti ya hapo, hiyo 67% ni ya Chadema!
Hii post mods hawajaiona nini?!! manake mie kusema "kwa picha ninazoziona ch10, CHADEMA kwishaaaa!", mods wameiondoa hiyo post!!!!!! nimejaribu kuisoma zaidi ya mara kumi huku nikiangalia na lugha niliyotumia lakini bado cjaona kilichowafanya waheshiwa hawa waiondoe hiyo post!!! Kama NEC wanatakiwa kupunguziwa madaraka basi wa mwanzo wanaotakiwa kujipunguzia madaraka ni mods wa JF!
heading na story havina coordination kabisa