Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,086
- 6,568
Nimemsikiliza kwa makini H Polepole, amelalamika sana juu ya wanaCcm kufanyiwa ukatili na unyama. Mmoja ameuwawa Songwe na mwingine Mkoani Njombe. Kwa nchi tuliozoea kuishi kwa amani hii sio jambo jema. Na linatia hofu kwa wananchi.
Pia kupigwa mapanga kwa wafuasi na wanachama wa CCM huko Unguja na Pemba sio jambo jema. Lakini law enforcement agencies hasa Dpp na Police,wawe na msimamo kushughulikia kesi kama hizi, sio mpaka mwana Ccm apate majanga ndio tuone Dpp anachukua hatua ndani ya siku mbili.
Polepole kama ukizunguka mikoani Tanzania nzima utakuta wananchi ambao ofisi za waendesha mashitaka za mikoa zinawazungusha wananchi kupata haki zao,hata kama ndugu zao wameuwawa au kujeruhiwa. Kwa hiyo Humphrey Pole pole unapozungumzia haki kwa wana Ccm wanaopigwa mapanga tambua kuna wanaCuf,wanaAct,wanaCdm na wanaChauma ambao pia ni wahanga wa kukosa haki.
Pia kupigwa mapanga kwa wafuasi na wanachama wa CCM huko Unguja na Pemba sio jambo jema. Lakini law enforcement agencies hasa Dpp na Police,wawe na msimamo kushughulikia kesi kama hizi, sio mpaka mwana Ccm apate majanga ndio tuone Dpp anachukua hatua ndani ya siku mbili.
Polepole kama ukizunguka mikoani Tanzania nzima utakuta wananchi ambao ofisi za waendesha mashitaka za mikoa zinawazungusha wananchi kupata haki zao,hata kama ndugu zao wameuwawa au kujeruhiwa. Kwa hiyo Humphrey Pole pole unapozungumzia haki kwa wana Ccm wanaopigwa mapanga tambua kuna wanaCuf,wanaAct,wanaCdm na wanaChauma ambao pia ni wahanga wa kukosa haki.