- Thread starter
- #21
Hakuna haraka. Soon utapata jibu!.
Una maana gani kusema magufuli hatatangazwa?
Una maana gani kusema magufuli hatatangazwa?
Hakuna haraka. Soon utapata jibu!.
Ccm haiwezi kuleta maendeleo Tanzania kwa sababu ni kundi la mafia likitawaliwa na ufisadi.
Kipenzi cha waliowengi ni nani? Lowasa ni fisadi nambari moja ambaye ameua taifa letu.
Magufuli hata akichaguliwa ccm Watanzanai hatumpigii kura kwa sababu anatumwa na mafisadi kama vile Sita kwenye katiba mpya. Hata kama atakuwa na nia nzuri hanaubavu kwa kuwa ni lazima afuate kanuni na itikdadi za ccm ikiweomo ufisadi, kulindana na kuwanyonga wananchi kwa maslahi ya ccm.
Magufuli, Asha, Amina wala mtu yeyote ccm hawawezi kulikomboa taifa kwa kuwa ndio walioliua makusudi. Lowasa, Kikwete, Rostam Aziz, Chenge, Karamagi, n.k hao ni mafisadi Nyangumi ambayo ndiyo kwa kuwa yamekosa kutawala moja kwa moja, yataendelea ku control mtawala atakayekuwepo kama alivyokuwa Anna Makinda bungeni.
Ccm hatuwachagui hata wavae manyoya!.
Sasa hivi tunachagua UKAWA tu, kuanzia raisi hadi diwani!.
Tunataka Tanzania Yetu, na si ya Mafisadi.
Prove ufisadi Wa lowassa kwa facts!!!!!!
Prove ufisadi Wa lowassa kwa facts!!!!!!