Ninaangalia katika tatu bora, sioni ccm wala mweelekeo wa Tanzania mpya ya Watanzania.
Kwanza Magufuli hatatangazwa. Na akitangazwa bado hana ujanja wala uwezo wowote kikatiba wa kuacha kusimamia sera za ccm ambazo ni kulinda maslahi ya chama, matakwa ya chama kwanza, kwa kuwatumia wananchi. Hapa bado mafisadi aliolitesa taifa kwa miaka kumi ya Kikwete watakuwa wakiendesha usukani wa taifa wakiwa wamevaa gloves zinazoitwa magufuli. Mfano HALISI NI SITA ALIVYOFANYWA ALIPOJIDAI KUSIMAMIA MASLAHI YA NCHI AKIWA SPEAKER WA BUNGE LA HAMHURI NA ALIVYOKUJA KUSHIKA ADABU KWA MAFISADI KAMA ALIVYODHIHIRISHA KWENYE BUNGE LA KATIBA.
Hakuna unafuu wala matumaini mema hapa.
Asha Rose migiro, hajawahi kufanya jambo lolote likafanikiwa katika nafasi zote alizowahi kushika ndani na nje ya nchi. Mara zote amekuwa akibebwa na jk na hili lipo dhahiri alipopigiwa debe kwa Ban Kimoon, akaonekana kama candidate sahihi lakini mwisho wake akashindwa kazi na kurudi home kabla ya muda wake.
Huyu hana ubunifu, maono, nia wala uwezo wa kuliondoa taifa kwenye mkwamo ambao naye ni mmoja wa wakwamishaji wake. Vilio vya Watanzania Asha hawezi kuvikwepa kwa sababu vyote vimetokea akiwa kwenye mifumo na hajawahi kuonyesha kujali wala kukerwa na lolote linaloleta kilio kwa taifa.
Bi Amina, hata haijulikani katokea wapi. Ninaomba nisimseme ila ninatahadharisha umma kwamba huu ndio mwendelezo wa teuzi za Jk. Watu ambao amekuwa akiwateua ndio waliolifikisha taifa letu mahala tulipo.
Kuwaweka mbele hawa wanawake, na ambao mmja wao atatangazwa leo, ni kuendeleza kutawala wa jk na mafisadi kama ilivyokuwa kwenye Bunge la jamhuri kupitia mama Anna Makinda..
Wanaweka wanawake mostlikely Asha Rose Migiro ua Bi Amina ili mafisadi waendelee kutawala nchi kama ilivyokuwa kwa speaker wa bungu Anna Makinda. Na ndiyo siri ya tranquility ya Lowasa na mafirauni wengine mnaowajua. Ni mbinu iliyopangwa kutumiwa katika ulinzi wa interests na maamuzi yao, baada ya kuona kelele zimezidi.
Kwa kumpa uongozi yeyote kati ya hawa, bado mafirauni watafanya sherehe kama walivyofanya kwa Anna Makinda. Na sote tumeshudhudia alivyowafanikishia.
CCM haiwezi kutujengea Tanzanai tunayoitaka hata kama ingemsimamisha nani kwa kuwa mfumo wake hauruhusu maendeleo zaidi ya kuhakikisha usalama wa mafisadi.
WATANZANIA TUCHAGUE UKAWA KUANZIA RAISI, MBUNGE HADI DIWANI!. Mafisadi wasiendelee kutuumiza.
Kwanza Magufuli hatatangazwa. Na akitangazwa bado hana ujanja wala uwezo wowote kikatiba wa kuacha kusimamia sera za ccm ambazo ni kulinda maslahi ya chama, matakwa ya chama kwanza, kwa kuwatumia wananchi. Hapa bado mafisadi aliolitesa taifa kwa miaka kumi ya Kikwete watakuwa wakiendesha usukani wa taifa wakiwa wamevaa gloves zinazoitwa magufuli. Mfano HALISI NI SITA ALIVYOFANYWA ALIPOJIDAI KUSIMAMIA MASLAHI YA NCHI AKIWA SPEAKER WA BUNGE LA HAMHURI NA ALIVYOKUJA KUSHIKA ADABU KWA MAFISADI KAMA ALIVYODHIHIRISHA KWENYE BUNGE LA KATIBA.
Hakuna unafuu wala matumaini mema hapa.
Asha Rose migiro, hajawahi kufanya jambo lolote likafanikiwa katika nafasi zote alizowahi kushika ndani na nje ya nchi. Mara zote amekuwa akibebwa na jk na hili lipo dhahiri alipopigiwa debe kwa Ban Kimoon, akaonekana kama candidate sahihi lakini mwisho wake akashindwa kazi na kurudi home kabla ya muda wake.
Huyu hana ubunifu, maono, nia wala uwezo wa kuliondoa taifa kwenye mkwamo ambao naye ni mmoja wa wakwamishaji wake. Vilio vya Watanzania Asha hawezi kuvikwepa kwa sababu vyote vimetokea akiwa kwenye mifumo na hajawahi kuonyesha kujali wala kukerwa na lolote linaloleta kilio kwa taifa.
Bi Amina, hata haijulikani katokea wapi. Ninaomba nisimseme ila ninatahadharisha umma kwamba huu ndio mwendelezo wa teuzi za Jk. Watu ambao amekuwa akiwateua ndio waliolifikisha taifa letu mahala tulipo.
Kuwaweka mbele hawa wanawake, na ambao mmja wao atatangazwa leo, ni kuendeleza kutawala wa jk na mafisadi kama ilivyokuwa kwenye Bunge la jamhuri kupitia mama Anna Makinda..
Wanaweka wanawake mostlikely Asha Rose Migiro ua Bi Amina ili mafisadi waendelee kutawala nchi kama ilivyokuwa kwa speaker wa bungu Anna Makinda. Na ndiyo siri ya tranquility ya Lowasa na mafirauni wengine mnaowajua. Ni mbinu iliyopangwa kutumiwa katika ulinzi wa interests na maamuzi yao, baada ya kuona kelele zimezidi.
Kwa kumpa uongozi yeyote kati ya hawa, bado mafirauni watafanya sherehe kama walivyofanya kwa Anna Makinda. Na sote tumeshudhudia alivyowafanikishia.
CCM haiwezi kutujengea Tanzanai tunayoitaka hata kama ingemsimamisha nani kwa kuwa mfumo wake hauruhusu maendeleo zaidi ya kuhakikisha usalama wa mafisadi.
WATANZANIA TUCHAGUE UKAWA KUANZIA RAISI, MBUNGE HADI DIWANI!. Mafisadi wasiendelee kutuumiza.