Andromeda Galaxy
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 5,369
- 6,878
Nimejaribu kuangalia mijadala ya wagombea wa Chama Chaumma(CHAUMMA), CUF, na AAFP, nikiri kuwa ukosefu wa Chama Cha Demokrasia Na Maendeleo (CHADEMA), kumefanya uchaguzi wa mwaka huu kuwa Moja ya chaguzi za hovyo tangu mfumo wa vyama vingi uanzishwe,
Nakiri kuwa Tundu Antipas Lissu na John Wegesa Heche ni miongoni mwa wanasiasa wenye hoja mtambuka zenye kugusa maisha ya wananchi na pengine ni wagombea wenye ushawishi zaidi ambao kwa kukosa kwetu demokrasia madhubuti basi tumekosa michango yao madhubuti na jadidifu kuelekea uchaguzi ambao pengine ni uchaguzi wa hovyo zaidi kuwahi kutokea tangu mfumo wa vyama vingi uingie nchini Tanzania
Kwa kweli ni huzuni kubwa kwa taifa letu changa la Tanzania.
Nakiri kuwa Tundu Antipas Lissu na John Wegesa Heche ni miongoni mwa wanasiasa wenye hoja mtambuka zenye kugusa maisha ya wananchi na pengine ni wagombea wenye ushawishi zaidi ambao kwa kukosa kwetu demokrasia madhubuti basi tumekosa michango yao madhubuti na jadidifu kuelekea uchaguzi ambao pengine ni uchaguzi wa hovyo zaidi kuwahi kutokea tangu mfumo wa vyama vingi uingie nchini Tanzania
Kwa kweli ni huzuni kubwa kwa taifa letu changa la Tanzania.