UCHAGUZI 2025

UCHAGUZI 2025

Kesho ni mbali sana mkuu ndo iwe 2025 tufanye tathimini nyingine ase
 
Mkuu huu uzi usubiri 2025 sasa hivi tunamsapoti kwanza Rais wetu juu ya waliosababisha tuibiwe madini yetu tunawafanyaje?
 
Ivi mfano mwaka 2025 kinyang'anyiro cha uraisi fainali ikawa kati ya Hussein bashe(ccm) na Tundu Lissu(Chadema) kura yako ungempa nani?
Siasa hazitabiriki huenda kufkia 2025 lisu akawa ccm bashe akawa chadema!!!!!!
 
Back
Top Bottom