UKAWA ndio waliotangaza hadharani kuwa ufisadi sio agenda yao tena. Hii ni baada ya kumpokea kiongozi wa mtandao wa ufisadi nchini.
Kuna Possibility ya CCM kutompitisha Magufuli kuwa mgombea Urais ndani ya kile chama cha Mapinduzi 2020. Chama cha mlengwa wa kifisadi ila Rais ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama anapinga ufisadi.
Wakimzingua Ukawa tunamchukua.