Uchaguzi 2020 : CCM kumpiga chini Magufuli

Uchaguzi 2020 : CCM kumpiga chini Magufuli

KIBARAone

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2015
Posts
642
Reaction score
243
Kuna Possibility ya CCM kutompitisha Magufuli kuwa mgombea Urais ndani ya kile chama cha Mapinduzi 2020. Chama cha mlengwa wa kifisadi ila Rais ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama anapinga ufisadi.

Wakimzingua Ukawa tunamchukua.
 
Magufuli (muadilifu) hafanani na Lowasa (fisadi)....Ngeleja, Chenge au Tibaijuka (mafisadi) wanawafaaa ukawa.....wachukueni hao.....
 
By that time, KATIBA ITAKUWA INARUHUSU MGOMBEA BINAFSI! Watanyooka tu!
 
Ukawa tunaitaji mtu hanayejua kizungu.


swissme
 
Kuna Possibility ya CCM kutompitisha Magufuli kuwa mgombea Urais ndani ya kile chama cha Mapinduzi 2020. Chama cha mlengwa wa kifisadi ila Rais ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama anapinga ufisadi.

Wakimzingua Ukawa tunamchukua.

Mtasubiria ka fisi
 
Magufuli (muadilifu) hafanani na Lowasa (fisadi)....Ngeleja, Chenge au Tibaijuka (mafisadi) wanawafaaa ukawa.....wachukueni hao.....

Koma kabisa fisadi wewe ambaye hujajitathimini
 
Kuna Possibility ya CCM kutompitisha Magufuli kuwa mgombea Urais ndani ya kile chama cha Mapinduzi 2020. Chama cha mlengwa wa kifisadi ila Rais ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama anapinga ufisadi.

Wakimzingua Ukawa tunamchukua.
Wacha ukumanyoko na wewe! Utabiri gani wa kipumbav huu? Mbona watu wengine mnapendaga kuchokoza wenzenu hivyo? Wampige chini kwa lipi? Hujui rais akishachukua ni mpaka miaka 10 iishe? Wacha upuuzi wako bwana, ina maana huko UKAWA hatuna watu mpaka tukae tunadandia makapi kila mwaka?
 
Back
Top Bottom