Uchaguzi 2015

Uchaguzi 2015

Edmund N Abel

Member
Joined
Dec 14, 2012
Posts
20
Reaction score
2
Je CHADEMA wamejipanga vip kuuchukua ushindi licha ya changamoto ndogondogo ndani ya chama kukikabili?.
 

Attachments

  • Chadema_001.jpg
    Chadema_001.jpg
    16.4 KB · Views: 188
Bila tume huru ya uchaguzi, ni wazi CCM watachakachua matokeo tena! Jambo muhimu kwa sasa ni CDM kushughulikia uwepo wa tume huru ya uchaguzi!
 
Kuna kampaini ya kimya kimya ya kuwa na watu wengi kupigia CHADEMA wakati huu ambapo CCM bidii zao zote zimewekwa kwa viongozi wa juu. Njoo vijijini uone kinachoendelea. CDM ni tishio usidanganywe na mtu.
 
Back
Top Bottom