Bobwe1
JF-Expert Member
- Apr 8, 2014
- 396
- 95
Na hii ndiyo hoja ya msingi na wala si dini au imani ya mtu!!.
Hapa ndipo ulipo mjadala, kwamba mtu toka nchi jirani na nyingine kabisa aje agombee uongozi wa Taifa letu na tumchague???
Waliharibu kuikataa rasimu ya katiba ya Jaji Joseph Warioba na kung'ang'ania uzamani ili hali tatizo hili lilishapatiwa ufumbuzi!
Haiwezekani Zanzibar wajiongoze na bado waje na upande huu wa nchi yetu ya Tamganyika nako tuongozwe na Mzanzibar; impossible!!
Ilikuwa ni zama zile za giza la ujinga, not now.....au la wanataka, Rasimu ya Jaji Warioba ije mezani tukumbushane, tujadiliane tuliweke sawa hili.....otherwise, it's chaos!!
NNN
Nchi yako ipi na nchi jirani ipi?