Elections 2010 Uchaguzi 2010 na Uraia wa Tanzania

Asprin

JF-Expert Member
Mar 8, 2008
68,012
95,352
Ndugu zangu watanzania wenzangu (kama kweli mi ni mtanzania kwa mujibu wa CCM)

Uchaguzi wa mwaka huu umegubikwa na wimbi la watu waliokuwa wanajijua kuwa ni watanzania kumbe kwa mshangao wao wanajikuta kuwa si watanzania.

Kuna mmoja aliyekuwa anataka kugombea ubunge kupitia CHADEMA huko Mwanza aliwekewa pingamizi na Waziri Lawrence Masha na pingamizi hilo kukubaliwa. Amenifanya nipate uchungu na kuanzisha sredi hii ili wajuvi mnisaidie

Binadamu huyu amezaliwa Tanzania Miaka 33 iliyopita. Hajawahi kuishi nje ya Tanzania. Baba yake ni mtanzania aliyezaliwa Tanzania. Baba wa baba yake (babu) ni mtanzania aliyezaliwa Tanzania. Ila mama yake ni mzaliwa wa Kenya aliyekulia Tanzania.

Kinachonigongeshaa kichwa:
Baba anapokuwa raia wa Tanzania na mama si raia, na mtoto kazaliwa na kukulia Tanzania mtoto anakuwa raia wa wapi?
Kama mtoto anakuwa si raia wa Tanzania, anapaswa afanye nini ili awe Raia wa Tanzania?
Mwenye mamlaka ya kumtangaza mtu kuwa ni raia wa Tanzania ni nani?
Je uraia wa mtu unagundulika tu pale anapogombea nafasi za uongozi wa kiasiasa?

Naomba msaada wenu, nina mpango wa kuikomboa nchi hii mwaka 2015 sasa nahofia nisije kukomboa nchi isiyo kuwa ya kwangu.
 
sijui viongozi wanategemea tujijue vipi uraia wetu ikiwa wakati tunapojiandikisha shule, vyuo vikuu, mikopo ya serikali, kote huku hatujaambiwa kama kuna uwezekano wa sie kuwa si raia.

wangeliweka sheria basi kuwa ukitimia miaka 18 lazima ukathibitishwe uraia wako na upewe ushahidi wa kuwa raia (japo hili linaweza lisisaidie ccm wakikusudia kusema weewe si raia)
 
sijui viongozi wanategemea tujijue vipi uraia wetu ikiwa wakati tunapojiandikisha shule, vyuo vikuu, mikopo ya serikali, kote huku hatujaambiwa kama kuna uwezekano wa sie kuwa si raia.

wangeliweka sheria basi kuwa ukitimia miaka 18 lazima ukathibitishwe uraia wako na upewe ushahidi wa kuwa raia (japo hili linaweza lisisaidie ccm wakikusudia kusema weewe si raia)

Kila alipopita alikuwa anajitambulisha kama mtanzania na haikuwa nongwa. Inakuwaje anaonekana si raia wa nchi hii kwa kuwa tu kawekewa pingamizi na Waziri wa Mambo ya Ndani? Hivi mtu unatakiwa uonyeshe nyaraka zipi ili uthibitishe uraia wako?:confused2::confused2::confused2:
 
Ushindi ni lazima! Hii ndiyo kauli mbiu ya CCM mwaka huu, wao ndo wameshikilia serikali, Masha ndiye waziri mwenye ridhaa ya mambo ya ndani ambayo ndiyo inasimamia idara ya uhamiaji. Sikushangaa kuona kuwa anatumia madaraka yake kuwaamuru wasaidizi wake (Uhamiaji) wahakikishe kuwa mpinzani wake anatafutiwa zengwe lolote lile. Kama siyo raia je kwa nini hajakamatwa na kurudishwa kwao kama sheria ambayo Masha na wizara yake wanatakiwa kuisimamia?????

Ombi langu kwa wananchi wa Ilemela na Mwanza ni kutomchagua mgombea yeyote wa CCM. Kwa sababu moja kuu kuwa serikali ya CCM imeshindwa kusimamia utawala wa sheria na hivyo kusababisha wageni kutumia rasimali zetu kadri wapendavyo.
 
hiyo nchi inayoitwa tanzania kwani inaendeshwa na sheria?

wanatakiwa wawe na mfumo ambao mtoto anaezaliwa na mzazi mmoja asiye kuwa raia, wampe notification akifika miaka 18 achague uraia wa nchi anaoutaka.....................sio wanaenda wanamu ambush mtu tu

ati waziri akisema wewe si raia maana yake wewe si raia.
 
Ushindi ni lazima! Hii ndiyo kauli mbiu ya CCM mwaka huu, wao ndo wameshikilia serikali, Masha ndiye waziri mwenye ridhaa ya mambo ya ndani ambayo ndiyo inasimamia idara ya uhamiaji. Sikushangaa kuona kuwa anatumia madaraka yake kuwaamuru wasaidizi wake (Uhamiaji) wahakikishe kuwa mpinzani wake anatafutiwa zengwe lolote lile. Kama siyo raia je kwa nini hajakamatwa na kurudishwa kwao kama sheria ambayo Masha na wizara yake wanatakiwa kuisimamia?????

Ombi langu kwa wananchi wa Ilemela na Mwanza ni kutomchagua mgombea yeyote wa CCM. Kwa sababu moja kuu kuwa serikali ya CCM imeshindwa kusimamia utawala wa sheria na hivyo kusababisha wageni kutumia rasimali zetu kadri wapendavyo.

Huwa sina hasira kwenye haya mambo ya siasa. Ila hili la Masha kwakweli limeniudhi.

I HATE LAWRENCE MASHA:confused2::welcome:
I HATE CCM na viongozi wake wote, na wanachama na mashabiki wake wote..........:mad2::mad2:

:banplease::banplease::banplease:
 
hiyo nchi inayoitwa tanzania kwani inaendeshwa na sheria?

wanatakiwa wawe na mfumo ambao mtoto anaezaliwa na mzazi mmoja asiye kuwa raia, wampe notification akifika miaka 18 achague uraia wa nchi anaoutaka.....................sio wanaenda wanamu ambush mtu tu

ati waziri akisema wewe si raia maana yake wewe si raia.

I hate Lawrence Masha! I hate Tanzania (After all, sina uhakika kama mimi ni mtanzania kwa mujibu wa Serikali ya Tanzania ya CCM ya JK
 
Tena wamesema ushindi wa kishindo ni lazima kwa gharama yoyote!
mix with yours
Ushindi wa Kishindo si ndo huu wa kutumia vigezo vya uraia? Wameona wizi kwenye visanduku vya kura mwaka huu itakuwa ngumu, kwa hiyo wamekuja na mbinu mpya.......... URAIA!!

Can you imagine? Pingamizi zote walizowekewa CCM zinatupwa kapuni. Mohamed Dewji huko Singida kawekewa pingamizi na wagombea wawili wa upinzani pingamizi zimetupwa. Yeye kawawekea pingamizi wagombea wote wa upinzani na pingamizi zote aliaoweka zimekubaliwa..... Naye AMESHAKUWA MBUNGE TAYARI.........Damn it!
 
mtu wa ngapi sijui huyo anatajiwa uraia kisa kagombea ubunge!

ikiwa wanafanyiana wenyewe kwa wenyewe ccm watashindwa kumfanyia mgombea wa upinzani?

ushaambiwa ccm imesema itashinda kwa kishindo kwa gharama yoyote ......wategemea nini?
 
mtu wa ngapi sijui huyo anatajiwa uraia kisa kagombea ubunge!

ikiwa wanafanyiana wenyewe kwa wenyewe ccm watashindwa kumfanyia mgombea wa upinzani?

ushaambiwa ccm imesema itashinda kwa kishindo kwa gharama yoyote ......wategemea nini?

Namshukuru Mungu silaha haziuzwi kama pipi Kariakoo. Kuna mtu angeenda Jehanam wakati mimi naelekea Segerea kusubiri signecha ya rais wa CCM nining'inizwe kitanzini!:confused2::confused2:
 
nchi ilivyokuwa haina sheria na tushukuru tu hakuna silaha nje nje .............manake tungemalizana japo kuwa sasa hao elite few wanatumaliza raia wa chini kwa madhila :mad:
 
nchi ilivyokuwa haina sheria na tushukuru tu hakuna silaha nje nje .............manake tungemalizana japo kuwa sasa hao elite few wanatumaliza raia wa chini kwa madhila :mad:

Haya hebu turudi darasani kidogo hapo.......:confused2:
 
Hommie, hivi wewe ni raia in the first place? tuanzie hapo


Inaonekana suala la uraia wa nchi yetu ni privilege na sio right ya mtu.. kwa wale tulioshuhudia suala la Bashe, hili la Masha ni cha mtoto tu!:confused2:
 
Huwa sina hasira kwenye haya mambo ya siasa. Ila hili la Masha kwakweli limeniudhi.

I HATE LAWRENCE MASHA:confused2::welcome:
I HATE CCM na viongozi wake wote, na wanachama na mashabiki wake wote..........:mad2::mad2:

:banplease::banplease::banplease:

Kwani mbona hata Masha wenu huyo si Mtanzania.... Mwambieni athibitishe muone
 
Halafu sasa, huyu msimamizi wa uchaguzi bwana Kabwe alidai kwamba mgombea wa CHADEMA kashindwa kuthibitisha uraia wake......lakini mbona hajatuambia kuwa ni vielelezo gani vinamfanya asiwe raia? alikutwa na pasipoti ya nchi nyingine? ana fanana fanana na msomali? au ni kipi hasa KINACHOTHIBITISHA kuwa sio raia hadi aenguliwe kwenye kugombea?

kijana chakarika na rufaa hadi kieleweke!:confused2:
 
System nzima ya CCM inaboa sana ..swala zima hapa ni kwamba hawajiamini hata kidogo ..wamekuwa wakiishi kwa hofu ,mashaka na kuotea. maisha yao ..wana hofu kubwa na upinzani
 
Hommie, hivi wewe ni raia in the first place? tuanzie hapo


Inaonekana suala la uraia wa nchi yetu ni privilege na sio right ya mtu.. kwa wale tulioshuhudia suala la Bashe, hili la Masha ni cha mtoto tu!:confused2:

hahaha dont tell me! mpwa nna wasi wasi na urai wako.....

Nyie watu, haya maswali na utata wa uraia wangu hebu nendeni kwa mtaalamu wa kutambua uraia marehemu, sore, mheshimiwa Masha.
 
Kwani mbona hata Masha wenu huyo si Mtanzania.... Mwambieni athibitishe muone

Taratibu mtumishi.......Hatupendi kukukosa bana. Yaani huyu raia namba moja wa Tanzania unasema si mtanzania?:confused2:
 
Back
Top Bottom