William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,466
- Thread starter
-
- #21
FMES,
Mimi nachukua msimamo tofauti kidogo na wako. Kwa kuwa umesema maslahi ya taifa nadhani itakuwa muhimu tuorodheshe kwanza matatizo tunayokabiliwa nayo kama taifa halafu ndio tuangalie katika matatizo haya ni vioingozi gani, waliopo au wanaodhaniwa, wanaweza kutusaidia kujikwamua nayo. Nimepoteza imani katika personalities.
Mimi kwa kuanza tu nataja ufisadi na rushwa kama tatizo la kwanza. La pili ni ukosefu wa uzalendo na la tatu ni tamaa ya kujitajirisha haraka kwa migongo ya walala hoi.
Tuendelee.
Mkuu hauoni kwamba matatizo tumeshayasema hadi basi!!? kwanini tusiweke majina ya potentials halafu tuangalie kama wanafit kwenye jedwali la shida zetu??
Ni maoni tu kaka
FMES,
Mimi nachukua msimamo tofauti kidogo na wako. Kwa kuwa umesema maslahi ya taifa nadhani
1. Nimepoteza imani katika personalities.
2. Mimi kwa kuanza tu nataja ufisadi na rushwa kama tatizo la kwanza.
3. La pili ni ukosefu wa uzalendo na la tatu ni tamaa ya kujitajirisha haraka kwa migongo ya walala hoi.
Tuendelee.
- Mkuu jaribu kuheshimu taifa, kama huna cha kuchangia kuhusu masilahi ya taifa basi waachie wanaoweza,
- Na ninaomba nikukumbushe wewe na wengine wote kwamba mimi ni mwanachama mkereketwa wa CCM, sijawahi kutokwua na msimamo wala kuwa neutral katika maisha yangu huku Duniani, ninaamini kwamba chama cha CCM hakina tatizo lolote, isipokuwa tuna viongozi wachache wabovu ambao demokrasia inahitaji tuwarekebishe ili waweze kurudi tena kwenye mstari.
- Now back to the ishu ni kwamba kwa mawazo na maoni yangu ufisadi, ndio hasa tatizo kubwa linaloliangamiza taifa letu, ninaamini kwamba tukiweza kuuthibiti ufisadi, yaani kuwashughulikia viongozi wezi wa mali za taifa, yaani za wananchi basi taifa letu litafanikiwa sana katika mbio zetu za kusonga mbele. Na the only way foward ni kukazania utawala unaoheshimu sheria kwanza kabla ya anything.
- Nafasi ya Rais kwa sasa ninaiacha wazi mpaka nitakapojua wanaoiwania kutoka vyama vyote ndio tutasema wazi msimamo wetu, ingawa for now tunaweza ku-speculate na kushauri pia nani anayefaa, lakini tutasema msimamo wetu kwa wagombea walioko kwenye nafasi tayari na wale walioonyesha nia ya kutaka kugombea.
- Na kila member hapa JF, anakaribishwa sana kutoa maoni yake kuhusu nani anatufaa kiuongozi katika taifa letu.
Respect.
FMEs!
Field marshal,
Tatizo la Tanzania ni umaskini...hivi unafikiri umaskini umesababishwa na ufisadi tu? basi siyo kitu kingine? that will be wrong hypothesis to start with? kwanini wakati wa Mwalimu hakukuwa na ufisadi lakini mbona umaskini ulikuwa mbaya zaidi? mpaka kununua nyembe tunapanga foleni? tatizo ni uchumi na Prof. Lipumba ni right person for a job.
Sasa mimi nimekosea wapi mazee? Mimi nimesema kuwa ni furaha kwetu leo wewe unaongelea masilahi ya taifa na siyo li chama lako!
Kama unabisha tunaweza kuzipekuwa comments zako humu nyingi tu ambazo uliweka lichama lako mbele kuliko utaifa. natumaini kwa faida ya hii thread amabyo kwa kweli ni nzuri hautataka tufike huko kwani tutapindisha hii mada.
Si unajua tena mpaka beast atakapo panda juu ya hekalu na kusema mimi ndiye masiha, fahamu pale pale zitawajia watu na kutambua kuwa jamaa amewaingiza mkenge. Hivyo hivyo mafisadi wanapoendelea kusema wazi wazi kuwa wao ndiyo wenye chama wengi watafunguka akili na kukimbilia masalhi ya taifa
Halafu ebu nioneshe kimoja nilichosema kinachoonesha kuwa sieshimu taifa?
FMES,
Mimi kwa kuanza tu nataja ufisadi na rushwa kama tatizo la kwanza. La pili ni ukosefu wa uzalendo na la tatu ni tamaa ya kujitajirisha haraka kwa migongo ya walala hoi.
Tuendelee.
Duh mbona wengi bado hatuchawachoka kila siku wanazidi kuwa makini zaidi it is time give them a chance...
- mengine siwezi kukusaidia maana najua una matatizo mengi sana, pole sana! ila mchawi wako sio mimi ni wewe mwenyewe na tabia zako, sasa mkuu naomba kurudi kwenye kujadili taifa!
Respect.
FMEs!
Prof. Ibrahimu Lipumba for 2010 presidency...wapinazni wote wamuunge mkono tafadhali..right person in a right time.
- Mkuu naomba kurudia tena CCM ni chama changu, record yangu hapa JF na nje ya hapa iko wazi, taifa kwanza chama baadaye,
- mengine siwezi kukusaidia maana najua una matatizo mengi sana, pole sana! ila mchawi wako sio mimi ni wewe mwenyewe na tabia zako, sasa mkuu naomba kurudi kwenye kujadili taifa!
Respect.
FMEs!
.Sasa Pasco nifanyeje nianze kumpamba Lucifer eti kwa sababu tu anawafuasi?
.
Shalom, kwenye maslahi ya taifa, siasa za vyama weka nyuma, don't call names vyama vya watu, twende kwenye mada maslahi ya taifa bila kujali vyama.
Huyo huyo unayemuita Lucifer, ndiye atatawala milele, sasa wewe peponi utakwenda kupitia wapi?.
Mimi naanza na nafasi ya U-Rais
Napendekeza Mh. John Pombe Magufuli
kama kuna baadhi ya watu wanaoifanya CCM iwe na heshima ni pamoja na kazi anayoifanya huyu Mheshimiwa....watu wapende wasipende huo ndio ukweli wenyewe.
Sababu
Ni mchapakazi na rekodi yake inajulikana kokote kule alikofanyia kazi
Ana nia ya kweli kumpigania mtanzania, in some issues anahitaji guidance though
Ni Msomi aliyebobea (PhD Scholar) pale UDSM
...