Mchawi WA Bongo
Member
- Jun 6, 2026
- 63
- 113
Unatumia ipi??? Beer au vilevi Laini??Nipo namazlizia chupa hapa!
Unatumia ipi??? Beer au vilevi Laini??Nipo namazlizia chupa hapa!
Bloo umekemea kinyama!Wajumbe wa jukwaa hili
Kuna huu upumbavu wa kifala unaoendelea hapa mjini kati ya hawa viumbe wanaojitapa kujiita Mishangazi na hawa Vitoto vya Kiume (Vibenten) vinavyoshinda vikilamba miguu ya hii mimama kwa ajili ya mteremko wa maisha.
Mimama Iliyochoka Inayosaka Kujifariji kwa Vitoto Vidogo
Hivi nyie mimama mliokomaa, wenye miaka 45 hadi 55, mna akili kweli kichwani? Inakuwaje unazeeka vibaya namna hiyo hadi unadiliki kutoka kimapenzi na kijana mdogo wa miaka 20 anayelingana na mtoto uliyemzaa au kumsafisha nepi.
Huu ni uchafu na uhuni uliopitiliza Mnajifanya mna vijisenti vya kuwahonga watoto wa wenzenu ili mupate watu wa kuwapoza njaa zenu za kihisia na miili yenu iliyochoka.
Laana tupu, mnamaliza nguvu za hawa vijana kwa tamaa zenu za kijinga huku mkiwaacha wakiwa zuzu. Nyie wanawake wa namna hii ni madampo, mnaharibu kizazi kijacho kwa makusudi kisa tu mmeshindwa kuheshimu umri wenu.
Na nyie ni Wanaume Mjini, nyie vitoto vya kiume mnaoishi mjini na nguvu zenu zote, inakuwaje hamtaki kufanya kazi, hamtaki jasho, kazi yenu ni kutaka kulelewa na hii mimama, Mna laana gani kwenye koo zenu, Mwanaume mzima, una mikono na miguu, lakini unakubali kugeuzwa doli na kiburudisho mama wa miaka 50 kwa ajili ya kupewa kodi ya chumba, bia za ofa, na kuazimwa kigari cha kutembelea siku za wikendi.
Mwisho wa siku maisha yenu mnayaharibu kabisa. Unajiona mjanja sasa hivi kisa unapewa vijisenti vya mboga, hujui kwamba unajifuta uanaume wako na unajitoa kabisa kwenye ramani ya utafutaji wa kweli.
Unakuwa tegemezi na fala asiye na sauti mbele ya wanaume wanaopambana kwa jasho lao.
Ukishamalizwa nguvu na kutelekezwa, unabaki kuwa zuzu uliyefilisika akili na usiye na thamani yoyote mbele ya jamii.
Wengi wenu mnafikiri mko salama kwenye mauchafu yenu ya kijinga, Hii mimama mingine ina waume zao wenye fedha zao na mamlaka hapa mjini Mnajifanya wajanja kwenda kuiba mali za watu, mwisho wa siku mnakutwa mmechinjwa, mmetupwa mitaroni, au mmepigwa risasi kisa tu tamaa za kijinga za kulelewa. Unapoteza maisha yako ukiwa na miaka 20 au 22 kwa ajili ya mimama iliyozoea uchafu.
Kuanzia leo, natoa onyo la mwisho kabisa hapa jukwaani, Ukitembea na mshangazi, ! Na nakuahidi, ukifa kwenye hayo mambo yako ya kijinga, hakuna mtu atakayepoteza muda wake kukuombea wala kusimama kwenye jeneza lako kutoa heshima.
Unaizamisha wapiMbona miguno?
Hard coreUnatumia ipi??? Beer au vilevi Laini??
Kabisaaa Halafu inajua sanaaaMshangazi mtamu
Tumboni!Unaizamisha wapi
Anavunja katiba ya kitaa.Mleta mada anaingulia raha za watu 😎.
kumbeTumboni!
Mkuu embu waache watu watumie Pesa zao maana mnaawambia watafute Pesa ili waishi vizur uzeeni ndio hivyo sasaWajumbe wa jukwaa hili
Kuna huu upumbavu wa kifala unaoendelea hapa mjini kati ya hawa viumbe wanaojitapa kujiita Mishangazi na hawa Vitoto vya Kiume (Vibenten) vinavyoshinda vikilamba miguu ya hii mimama kwa ajili ya mteremko wa maisha.
Mimama Iliyochoka Inayosaka Kujifariji kwa Vitoto Vidogo
Hivi nyie mimama mliokomaa, wenye miaka 45 hadi 55, mna akili kweli kichwani? Inakuwaje unazeeka vibaya namna hiyo hadi unadiliki kutoka kimapenzi na kijana mdogo wa miaka 20 anayelingana na mtoto uliyemzaa au kumsafisha nepi.
Huu ni uchafu na uhuni uliopitiliza Mnajifanya mna vijisenti vya kuwahonga watoto wa wenzenu ili mupate watu wa kuwapoza njaa zenu za kihisia na miili yenu iliyochoka.
Laana tupu, mnamaliza nguvu za hawa vijana kwa tamaa zenu za kijinga huku mkiwaacha wakiwa zuzu. Nyie wanawake wa namna hii ni madampo, mnaharibu kizazi kijacho kwa makusudi kisa tu mmeshindwa kuheshimu umri wenu.
Na nyie ni Wanaume Mjini, nyie vitoto vya kiume mnaoishi mjini na nguvu zenu zote, inakuwaje hamtaki kufanya kazi, hamtaki jasho, kazi yenu ni kutaka kulelewa na hii mimama, Mna laana gani kwenye koo zenu, Mwanaume mzima, una mikono na miguu, lakini unakubali kugeuzwa doli na kiburudisho mama wa miaka 50 kwa ajili ya kupewa kodi ya chumba, bia za ofa, na kuazimwa kigari cha kutembelea siku za wikendi.
Mwisho wa siku maisha yenu mnayaharibu kabisa. Unajiona mjanja sasa hivi kisa unapewa vijisenti vya mboga, hujui kwamba unajifuta uanaume wako na unajitoa kabisa kwenye ramani ya utafutaji wa kweli.
Unakuwa tegemezi na fala asiye na sauti mbele ya wanaume wanaopambana kwa jasho lao.
Ukishamalizwa nguvu na kutelekezwa, unabaki kuwa zuzu uliyefilisika akili na usiye na thamani yoyote mbele ya jamii.
Wengi wenu mnafikiri mko salama kwenye mauchafu yenu ya kijinga, Hii mimama mingine ina waume zao wenye fedha zao na mamlaka hapa mjini Mnajifanya wajanja kwenda kuiba mali za watu, mwisho wa siku mnakutwa mmechinjwa, mmetupwa mitaroni, au mmepigwa risasi kisa tu tamaa za kijinga za kulelewa. Unapoteza maisha yako ukiwa na miaka 20 au 22 kwa ajili ya mimama iliyozoea uchafu.
Kuanzia leo, natoa onyo la mwisho kabisa hapa jukwaani, Ukitembea na mshangazi, ! Na nakuahidi, ukifa kwenye hayo mambo yako ya kijinga, hakuna mtu atakayepoteza muda wake kukuombea wala kusimama kwenye jeneza lako kutoa heshima.
Endiwoo🤪kumbe
😂😂😂 We mkali sana vp? Unatokea Chuga au??Hard core
Mkuu, kwa spana hizi za kila siku unapata muda kweli wa kufanya kaziWajumbe wa jukwaa hili
Kuna huu upumbavu wa kifala unaoendelea hapa mjini kati ya hawa viumbe wanaojitapa kujiita Mishangazi na hawa Vitoto vya Kiume (Vibenten) vinavyoshinda vikilamba miguu ya hii mimama kwa ajili ya mteremko wa maisha.
Mimama Iliyochoka Inayosaka Kujifariji kwa Vitoto Vidogo
Hivi nyie mimama mliokomaa, wenye miaka 45 hadi 55, mna akili kweli kichwani? Inakuwaje unazeeka vibaya namna hiyo hadi unadiliki kutoka kimapenzi na kijana mdogo wa miaka 20 anayelingana na mtoto uliyemzaa au kumsafisha nepi.
Huu ni uchafu na uhuni uliopitiliza Mnajifanya mna vijisenti vya kuwahonga watoto wa wenzenu ili mupate watu wa kuwapoza njaa zenu za kihisia na miili yenu iliyochoka.
Laana tupu, mnamaliza nguvu za hawa vijana kwa tamaa zenu za kijinga huku mkiwaacha wakiwa zuzu. Nyie wanawake wa namna hii ni madampo, mnaharibu kizazi kijacho kwa makusudi kisa tu mmeshindwa kuheshimu umri wenu.
Na nyie ni Wanaume Mjini, nyie vitoto vya kiume mnaoishi mjini na nguvu zenu zote, inakuwaje hamtaki kufanya kazi, hamtaki jasho, kazi yenu ni kutaka kulelewa na hii mimama, Mna laana gani kwenye koo zenu, Mwanaume mzima, una mikono na miguu, lakini unakubali kugeuzwa doli na kiburudisho mama wa miaka 50 kwa ajili ya kupewa kodi ya chumba, bia za ofa, na kuazimwa kigari cha kutembelea siku za wikendi.
Mwisho wa siku maisha yenu mnayaharibu kabisa. Unajiona mjanja sasa hivi kisa unapewa vijisenti vya mboga, hujui kwamba unajifuta uanaume wako na unajitoa kabisa kwenye ramani ya utafutaji wa kweli.
Unakuwa tegemezi na fala asiye na sauti mbele ya wanaume wanaopambana kwa jasho lao.
Ukishamalizwa nguvu na kutelekezwa, unabaki kuwa zuzu uliyefilisika akili na usiye na thamani yoyote mbele ya jamii.
Wengi wenu mnafikiri mko salama kwenye mauchafu yenu ya kijinga, Hii mimama mingine ina waume zao wenye fedha zao na mamlaka hapa mjini Mnajifanya wajanja kwenda kuiba mali za watu, mwisho wa siku mnakutwa mmechinjwa, mmetupwa mitaroni, au mmepigwa risasi kisa tu tamaa za kijinga za kulelewa. Unapoteza maisha yako ukiwa na miaka 20 au 22 kwa ajili ya mimama iliyozoea uchafu.
Kuanzia leo, natoa onyo la mwisho kabisa hapa jukwaani, Ukitembea na mshangazi, ! Na nakuahidi, ukifa kwenye hayo mambo yako ya kijinga, hakuna mtu atakayepoteza muda wake kukuombea wala kusimama kwenye jeneza lako kutoa heshima.
Nani kasema hizo ni special kwa watu wa kaskazini tu?😂😂😂 We mkali sana vp? Unatokea Chuga au??
HaaaaaaaaahEndelea kunitonesha kidonda wewe kijana mdogo!
Nitakuwa wa mwisho kuamini kama na wewe upo kwenye hilo groupNani kasema hizo ni special kwa watu wa kaskazini tu?
Umeniona?Nitakuwa wa mwisho kuamini kama na wewe upo kwenye hilo group
Haswaa hasa hii ya Jf ukipewa unahonga mtaji wote wa machimbo ya kariakooMshangazi mtamu