Mbu
Mbunge wa Ulanga kijana Mlinga kajisahau kuwa hii ni awamu ya tano na Rais Dr Magufuli hatavumilia matusi ya nguoni bungeni badala ya hoja kwa faida ya taifa na wapiga kuwa wake wa Ulanga - ataisoma namba cha ajabu naibu spika ni mwanamke na akavumilia uchafu huo na kuumeza!!!! funny and unbelievable badala ya kumkemea Mlinga na kumtoa nje!!!!Kiukweli kauli hiyo sikuipenda kwasababu mtu anastahili kupewa heshma yake watu walizoea kuropoka bungeni sasa yamemkuta bwanamdogo maana alifikiri yupo kwenye mkutano wa kampeni.