Uchafu wa Mbunge wa Ulanga CCM

Uchafu wa Mbunge wa Ulanga CCM

Hata kwa kuangalia sura tu, unaweza fahamu kwamba huyu siyo mtu anayestahili ubunge. ni kichwa kibovu kkischojitambua. Ni tatizo la CCM kuwapa wafiwa nafasi ya ubunge kama pole ya chama. Anawaita baby watu yeye anajua mama yake aliingiaje bungeni? It is just another rubbish.
Na huku ni kithibitisha kuwa huyo Tulia kashindwa kuliongoza bunge, ktk hali ya kawaida kabisa ilibidi huyu mbunge alazimishwe kufuta kauri yake
 
Duuuh!!! Usilolijua ni usiku wa giza, huyu dogo hakujua kuwa kuishi nyumba ya vioo lazima uwe na mahusiano mema na jirani zako
 
Tuondoe siasa naomba tukubaliane kuwa mbunge huyo alikosa staha na heshima kwa wabunge wetu wote wanawake!!!!!!!!!
niaibu sana kwa msomi kukosa hoja na kudhalilisha wanawake. si sawa kabisa.
 
Asante kwa taarifa lakini ungetuwekea au kutulumbushia ukweli kuhusu ubaby na udugu ulioko Chadema. Tunajua haya ni majibu kwa mashambulizi yaleee
UANDISHI WA KUTIA KICHEFUCHEFU, UNAOONYESHA SABABU NA MASLAHI.
shame on this news paper

Sii usome kwanza hiyo link uliyopewa post #62 ndio uje ubwabwaje hapa badala ya kujiaibisha? Watu mmekuwa wavivu sana.
 
Huyo Mdee na gazeti lao hili alikuwa wapi kuitoa taarifa hii kabla hawajaitwa "Baby"? Crap!

Kama mnaamini Lowassa (ambaye mmekaa naye CCM miaka yote bila kumpigia kelele) kwamba ni fisadi, basi itabidi muamini kila kitu, ikiwa ni pamoja na habari hii. Wakati mwingine si lazima uambiwe kile unachopenda kusikia.
 
Daima nitakuwa mtetezi mkubwa wa serikali lakini kwa hili la huyu mbunge kuwatukana na kuwadhalalisha wenzake sikubaliani nalo alitokwa na donge asilolijua kwani kiuhalisia hata yy linamgusa anataka kutuambia uwakilishi alioupata ni halali 100%jibu ni hapana alisaidiwa either kulipa fadhila za mzazi wake na je??kama alisaidiwa aliwalipa nini wasaidizi wake??doubt!!!
 
Tuondoe siasa naomba tukubaliane kuwa mbunge huyo alikosa staha na heshima kwa wabunge wetu wote wanawake!!!!!!!!!
niaibu sana kwa msomi kukosa hoja na kudhalilisha wanawake. si sawa kabisa.
Bange bange mbaya
 
Hivi huyo dogo alithubutuje kuongea namna hiyo huku akijua mama yake aliingizwa serikalini bila kujua alikuwa na ujuzi gani na uwezo gani wa kuwa waziri? Yeye anadhani mama yake alipewa hivyo vyeo kwa sababu alistahili au alikuwa na uwezo kiliko wengine? Au kwa sababu alikuwa chakula ya mtu? Toto bwege kweli hilo!
 
Huyu mbunge wa Ulanga kafanya kazi kweli ya kujitangaza inawezekana kuwa ni mtaalamu wa masoko. Kabla ya hapo alikuwa hajulikani kiasi cha magazeti kumuweka ukurasa wa mbele.
Hapa sijui mhariri na Mbunge nani atakuwa amefaidika.
 
Kiukweli kauli hiyo sikuipenda kwasababu mtu anastahili kupewa heshma yake watu walizoea kuropoka bungeni sasa yamemkuta bwanamdogo maana alifikiri yupo kwenye mkutano wa kampeni.
 
Makamu wa rais kesha wajibu wabunge wa ccm wajitathimini kwa waliyo ambiwa, hakika wangemrudisha huyu mpuuzi kuomba radhi kwa wanawake wote TZ. Ila kwa kuwa wanajitia ni wehu watanyamaza ila ujumbe wameupata. Huyu dogo alizoea kuona viongozi wa ccm wakilala na mamake daily wanabadilishana likamkera ila alikosa pa kulitolea kulisema juzi bungeni alitukana wanawake wote ila alijificha kwenye kichaka cha ukawa, uchafu wa mama ake umemuathiri akili.
Kwa mbunge Mlinga wa Ulanga hii kali kwelikweli!!!!!!!
 
Back
Top Bottom