Mbavu mbili
JF-Expert Member
- Apr 25, 2011
- 1,456
- 872
Binafsi sioni umuhimu wa kuwepo BBA, Shindano lililojizolea umaarufu mkubwa barani Afrika na Duniani kwa ujumla.
Hofu yangu ni kwamba namna ambavyo mambo yanaendeshwa ndani ya jumba hilo ni Kuudhalilisha utamaduni wa mtu mweusi, utu wake, na nchi atokako mshiriki husika.
mathalani
?Washiriki wamekuwa wakioneshwa Nusu uchi kama siyo uchi kabisa,
?Wakikaribia kufanya ngono,kama siyo kufanya kabisa.
?Sijajua kinachoshindaniwa na washiriki ni kipi? Kuonesha namna waafrika tunavyoweza kuishi.kama wazungu?...Au ni nini?
Shindano hili hurushwa LIVE bila kuficha jambo lolote...
SWALI LANGU....
Tunamfundisha nini na kujenga vipi maadili ya Watoto tunaowalea?
Binafsi shindano linanikera kwani Halina tija na limeshindwa kuutangaza vilivyo utamaduni wa nchi husika badala yake wahusika wamekuwa muda mwingi WAKINGONOKA TU...
HUU NI MTAZAMO WANGU TU...
Hofu yangu ni kwamba namna ambavyo mambo yanaendeshwa ndani ya jumba hilo ni Kuudhalilisha utamaduni wa mtu mweusi, utu wake, na nchi atokako mshiriki husika.
mathalani
?Washiriki wamekuwa wakioneshwa Nusu uchi kama siyo uchi kabisa,
?Wakikaribia kufanya ngono,kama siyo kufanya kabisa.
?Sijajua kinachoshindaniwa na washiriki ni kipi? Kuonesha namna waafrika tunavyoweza kuishi.kama wazungu?...Au ni nini?
Shindano hili hurushwa LIVE bila kuficha jambo lolote...
SWALI LANGU....
Tunamfundisha nini na kujenga vipi maadili ya Watoto tunaowalea?
Binafsi shindano linanikera kwani Halina tija na limeshindwa kuutangaza vilivyo utamaduni wa nchi husika badala yake wahusika wamekuwa muda mwingi WAKINGONOKA TU...
HUU NI MTAZAMO WANGU TU...