Uchafu kwenye masoko

Uchafu kwenye masoko

kinshwi

Member
Joined
Aug 22, 2016
Posts
48
Reaction score
173
Nimetembelea masoko mbalimbali hapa Tanzania, hali ya Usafi kwakweli huwa sio nzuri, takataka, harufu mbaya, mitaro ya maji taka, vyoo vina hali mbaya .

Kwanini watanzania hatuna utamaduni wa usafi. Masoko haya yana uongozi, bwana afya.

Tustaarabike
 
Nimetembelea masoko mbalimbali hapa Tanzania, hali ya Usafi kwakweli huwa sio nzuri, takataka, harufu mbaya, mitaro ya maji taka, vyoo vina hali mbaya . Kwanini watanzania hatuna utamaduni wa usafi. Masoko haya yana uongozi, bwana afya.
Tustaarabike
Watu wanaangalia pesa zaidi
 
Back
Top Bottom