Uchafu Dar tatizo linalorejea kwa kasi

Vyamavingi

JF-Expert Member
Oct 3, 2014
5,745
5,446
Sasa ni wazi tatizo la uchafu linarejea kwa kasi Dar. Tulikuwa tunaelekea kupunguza tatizo hilo baada ya kuwa tunachangishwa kiasi fulani cha pesa kwa kila kaya kwa mwezi ili kulipia ukusanyaji wa takatakata.

Kwa sasa utaratibu huo wa tozo ya takataka maendeo ya katikati ya Jiki umefutwa, nimemuliza Mtendaji, akaniambia hivyo, kwenye kikao cha mtaa, uongozi wa kata umegoma hata kuratibu tu ili tufanye utaratibu wa kutafuta mzoaji lkn wamegoma na kudai hawawezi kuratibu maana litawaletea matatizo na uongozi wa Manispaa.

Sasa pembezoni mwa barabara za maeneo pembezoni hali ni mbaya, taka zinatolewa majumbani zikiwa kwenye viroba usiku na kuachwa barabarani, kwa kipindupindu hiki sijui kama tutapona.

Vv
 
Wameshalipia kila kitu under the same roof
Magu wa wanyonge!!
Watendaji wazibebe hizi taka
 
Mbona huku mtaani kwetu bado wanapita kukusanya hizo hela kila mwezi?
Sisi tulikuwa tunalipa serikali za mtaa na tunapewa e- receipt, baadae tukaambiwa Manispaa wamezuia, nikapendekeza uongozi wa serikali ya mtaa uendelee kukusanya ila wasipeleke Manispaa na ututafutie magari, wakasema wanaigopa kufungwa. Huko kwenu mnalipia serikali ya mtaa au wakusanya taka ndio wanaokusanya?

Vv
 
Sisi tulikuwa tunalipa serikali za mtaa na tunapewa e- receipt, baadae tukaambiwa Manispaa wamezuia, nikapendekeza uongozi wa serikali ya mtaa uendelee kukusanya ila wasipeleke Manispaa na ututafutie magari, wakasema wanaigopa kufungwa. Huko kwenu mnalipia serikali ya mtaa au wakusanya taka ndio wanaokusanya?

Vv
Huyu dada katoka kuchukua buku mbili jana tuu

Sasa ngoja aje mwezi ujao tusemezane vizuri
 
Kuna tatizo la msingi kwenye hili swala la taka ngumu Serikali iwe wazi wamenogewa na hela za makusanyo. Mwenye share ya 20% ndo msemaji wa mwisho, wakandarasi wasio na uwezo ndo wanaoshinda zabuni. Ni nguku sana kwa jiji kuwa safi kuna haja ya kujaribu mfumo mwingine, serikali ijitoe kwenye biashara hii ya kuzoa na kusafirisha taka yenyewe ichukue kodi yake tu kama inavyofanya kwenye biashara zingine. wenye uwezo hawawezi peleka magari yao kwemye kuzoa taka, wasio nanuwezo magari yao mabovu yanakamatwa nanpolisi yakishamwaga taka haaaa bado kuna serikalii na serikali yake
 
Back
Top Bottom