Ubunifu wetu

Mkuu huu ubunifu nisafi lakini usipompelekea yule babu wa kukata utepe basi huwa haujakamileka ili na yeye aowone kile kilicho taka kumchukua uhai wake na kabla ya kwenda kwanza ulezia vipi yupo au ameinda india kufanya chekap lakini usiache kumuwonisha na ufunge utepe na mkasi huwa anatembea nao kwenye mfuko wa koti no tusi
 
lusungo hii itatu saidia tukiwa tunataka kwenda zetu mbeya au sio?
 
Last edited by a moderator:
Vipaji haswaa waafrika tunaakili jamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…