mkumbamasaka
Member
- Nov 1, 2010
- 15
- 7
Jamani habari nilizozipata ni kuwa injini namba 3 pale SONGAS imepata hitilafu na inawaka tafadhali mtujuze mlio karibu.
===========================
UPDATES: (Maxence)
Ni kweli moto ulitokea mwendo wa saa 9 kasoro lakini ulidhibitiwa kabla hali haijawa mbaya. No serious damages
Kwa mujibu wa Msemaji wa TANESCO
===========================
UPDATES: (Maxence)
Ni kweli moto ulitokea mwendo wa saa 9 kasoro lakini ulidhibitiwa kabla hali haijawa mbaya. No serious damages
Kwa mujibu wa Msemaji wa TANESCO