Ubungo kwafunga

Ubungo kwafunga

Kibo10

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
11,278
Reaction score
8,868
Idadi kubwa ya magari yashindwa kupishana katika makutano ya Ubungo Mataa kwa saa mbili sasa, hakuna trafiki na foleni imefunga pande zote.
 
siku nzima itaishia hapohapo kwenye foleni,..

Mkiambiwa muachane na private mtumie public transport kwa muda huu ujenzi ukiendelea hamuelewi,.

Hamna wa kulaumiwa hapo!!

Kuweni wavumilivu mpaka hapo mtakapopata suluhu maana hata busara ya kumruhusu mwenzio apite kwanza naona imegonga mwamba kila mtu anajidai ana haraka kuliko mwenzake!!
 
Idadi kubwa ya magari yashindwa kupishana katika makutano ya Ubungo Mataa kwa saa mbili sasa, hakuna trafiki na foleni imefunga pande zote.

...watanzania lazima kila jambo tusimamiwe!
 
Idadi kubwa ya magari yashindwa kupishana katika makutano ya Ubungo Mataa kwa saa mbili sasa, hakuna trafiki na foleni imefunga pande zote.
Dah! Na mimi ndio nakuja huko bodaboda zingekuwa salama ningepanda bahati mbaya ilishawahi kunimwaga kwenye rami sitathubutu tena.
 
siku nzima itaishia hapohapo kwenye foleni,..

Mkiambiwa muachane na private mtumie public transport kwa muda huu ujenzi ukiendelea hamuelewi,.

Hamna wa kulaumiwa hapo!!

Kuweni wavumilivu mpaka hapo mtakapopata suluhu maana hata busara ya kumruhusu mwenzio apite kwanza naona imegonga mwamba kila mtu anajidai ana haraka kuliko mwenzake!!
yenyewe yanapita juu??
 
Duh, just curious, hizo public transport zimekuwa fastjet barabara mkuu?
 
kwa kutumia public transport idadi ya magari ingepungua kwa kiasi fulani kuliko hali ilivyo sasa wakuu!!
 
Magari yapandishwe ushuru kwa muda, ili watu washindwe kununua, mpaka barabara zitakapo tengemaa.

Si ajabu ukasikia hii leo au kesho, unakumbuka sakata la mafuta ya taa?
 
Hao wajenzi wamelipwa mpaka mapesa ya kutengeneza diversion tena za lami na vibao vya kuelekeza gari zipite wapi mda gani na muda gani ila zote zimeingia mifukoni mwa wajanja kazi yenu kulialia tuuuuu
 
Ombeni msaada kutoka jw;
Hali ikishakuwa hivyo traffic police wote
huwa wanaingia chaka;
Ruhazwe JR, kikosi kazi chenu leo vipi?
 
Last edited by a moderator:
siku nzima itaishia hapohapo kwenye foleni,..

Mkiambiwa muachane na private mtumie public transport kwa muda huu ujenzi ukiendelea hamuelewi,.

Hamna wa kulaumiwa hapo!!

Kuweni wavumilivu mpaka hapo mtakapopata suluhu maana hata busara ya kumruhusu mwenzio apite kwanza naona imegonga mwamba kila mtu anajidai ana haraka kuliko mwenzake!!
Mkuu, tatizo hapo sio barabara kufungwa, ni kila mtu kujifanya Ana haraka. Madereva wa Dar huwa wanatumia m.a.k....... Kufikiri. Watakaa hapo mpaka ATOKEA kichaa kuwaongoza, maana wenyewe hawana akili
 
Mkuu, tatizo hapo sio barabara kufungwa, ni kila mtu kujifanya Ana haraka. Madereva wa Dar huwa wanatumia m.a.k....... Kufikiri. Watakaa hapo mpaka ATOKEA kichaa kuwaongoza, maana wenyewe hawana akili

Mara ya mwisho kupita Hapo Ubungo ilikuwa mwaka gani?
 
Mara ya mwisho kupita Hapo Ubungo ilikuwa mwaka gani?
Niko Ubungo mkuu, naishi Kimara. Sijui Kama umeelewa comment yangu? Ni kuwa, vyovyote iwavyo, ni bora tukaachiana nafasi ili hata Kama ni taratibu magari yakasogea. Sasa hivi pale kati magari yameshiana na kila mtu anataka awe wa Kwanza kupita nafasi ikipatikana, matokeo yake ndio hakuna kinachoendelea. That is my concern mkuu
 
Hata matraffic nao wanachoka jaman.....ubungo imekuwa kama k/koo mtaa wa kongo
Local roads zote zingetengenezwa ingeleta unafuu kidogo
 
Hapo mpaka waje JWTZ waanze kutishia watu kuwapiga mikanda.
 
Idadi kubwa ya magari yashindwa kupishana katika makutano ya Ubungo Mataa kwa saa mbili sasa, hakuna trafiki na foleni imefunga pande zote.

Watanzania ni watu wabinafsi sana hasa wakiwa ndani ya magari. Ukionana nao kwenye shughuli nyingine wanaonyesha kuwa wanawajali wengine, lakini siyo katika barabara. Ubinafsi wa Watanzania ni wa kupindukia. Sijui ni nchi gani ina tatizo kama la kwetu.

Katika nchi nyingine tatizo la kuzima taa likitokea basi njiapanda ya Ubungo inageuka kuwa 4-Way mnasubiriana kuvuka kadiri mlivyofika. Lakini siyo Tanzania. Mwenye gari kubwa ana haki kuliko mwenye gari dogo, n.k. Magari yana-overtake kushoto na kulia bila kujali usalama wa barabarani. Kwa ujumla TZ hakuna sheria za usalama barabarani zinazozingatiwa.
 
Kuna mtu aliwahi kusema trafiki wanaongeza foleni. Lakini sasa hapo mnatokaje bila trafiki kuja?
 
Back
Top Bottom