Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,901
- 95,402
Swali langu.swali langu na lako lipi lilianza!!!
Swali langu.swali langu na lako lipi lilianza!!!
Hamna cha Sukuma Gang wala ufyuzi😎 mkila spana mnahisi kila mtu msukuma humuSukuma gang at work,
Poleni kwa msiba.
Muda wa kula gizani sio, mtakula sana maviMataga muda wenu umekwisha, hata mkijliza vipi harudi. Ni muda wa wengine sasa nao kula.
Acha janja ya nyani kula mahindi mabichi.Unalalamika wakati wewe ndiye ambae unajibu maswali ambayo sikuuliza?Unapaswa kujilaumu mwenyewe.
Huo utafit gani ambao ulifanya ukawa general hivo.Swali langu halifanani na Tembo anafananaje.Kama unatumia mfano wa Tembo basi swali langu nililouliza ni Tembo wanaplay role gani katika ecology.Hili swali lazima ujibu kwa kutumia tafiti.
Unaelewa maana ya tafiti?Ulitumia conceptual framework gani katika tafiti yako?
Huwezi kamwe kuniuliza swali lolote lile nikujibu kwa sababu mpaka sasa hivi hujajibu swali nililokuuliza.Huna haki yoyote ile ya kuniuliza swali wakati hujajibu swali langu.Huwezi kujificha kwenye chaka la kuniuliza maswali kama njia ya kukwepa kujibu swali langu.Huo utafit gani ambao ulifanya ukawa general hivo.
Husemi unaongelea maendeleo yapi,
kiuchumi, kisiasa, kijamii, technolojia, kiutamaduni, utawala bora, haki za binadamu.
Wewe utafiti wako ulihusisha kipi kati ya hivo au vyote?
Na kwa mataifa yapi au dunia nzima?
Toa scope ya utafiti wako na data ulichukulia wapi.
Ni kwa muujibu wa exprience yangu kuishi TanzaniaHuwezi kamwe kuniuliza swali lolote lile nikujibu kwa sababu mpaka sasa hivi hujajibu swali nililokuuliza.Huna haki yoyote ile ya kuniuliza swali wakati hujajibu swali langu.Huwezi kujificha kwenye chaka la kuniuliza maswali kama njia ya kukwepa kujibu swali langu.
Swali langu lipo palepale na nitaendelea kukukumbusha hadi utakavyolijibu.Unavyodai kwamba Tanzania demokrasia haina uhusiano chanya na maendeleo,je hayo ni maoni yako binafsi au ni kwa mujibu wa tafiti?
Wewe ndiye unaekula mahindi mabichi kwa kutumia chaka la kuniuliza maswali kama njia ya kukwepa kujibu swali langu.Acha janja ya nyani kula mahindi mabichi.
Rudi kwenye mjadala usikwepe.
Acha ujanja ujanja maswali kama yana majibu huwezi kuyakwepa kama unavyofanya wewe..Wewe ndiye unaekula mahindi mabichi kwa kutumia chaka la kuniuliza maswali kama njia ya kukwepa kujibu swali langu.
Experience haina nguvu ya kuibua facts kwa sababu ni kitu personal na kinatofautiana kati ya mtu na mtu ukilinganisha na tafiti ambazo zinatumia karibia kanuni sawa dunia nzima katika kuibua facts.Ni kwa muujibu wa exprience yangu kuishi Tanzania
Nayakwepa kwa sababu unayatumia kama chaka la kujificha.Acha ujanja ujanja maswali kama yana majibu huwezi kuyakwepa kama unavyofanya wewe..
Mkuu umeshinda.Nayakwepa kwa sababu unayatumia kama chaka la kujificha ili usijibu maswali.
Kama umekiri kuwa nimeshinda sasa unaweza kuniuliza maswali yako.Mkuu umeshinda.