- Thread starter
- #21
Na huo ndio uhuni wao kwani wanataka kuiuza mara ya pili ili waiweke mfuko wa pembeni. Watu wa ajabu, wanaiba lakini hawafanyi lolote la maanamm nimeingia pale jana asubuhi sana..........wakati natoka, nimetoa 300 yangu, naona yule mama ananikodolea macho, kama vile ....si uende tu kwani unahitaji receipt? nikawa mkali, nikamwambia leta receipt hapa!