waTZ bana tuna laana!! Babu yetu Nyerere aliharibu ubongo wetu, tumezaliwa, kukua na sasa tunazeeka tukiamini kuna baadhi ya vitu wazungu tu ndo wanatakiwa wawe navyo/watumie!!!
Yaani mmeanza kuwabeza hao jmaaa waliowaletea "low cost airline services" nyie mnaanza kufananisha na mambo yenu mloyazoea!! Duh...